Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Poa kaka ake unaendleajeWakuu mko poa habari za weekend
Poa kaka ake unaendleajeWakuu mko poa habari za weekend
Mikopo ni hatari sana kama hujui cha kufanyaHii mikopo ilimfanya rafiki yangu mpaka leo amekuwa masikini
Alichukua mkopo akitegemea afungue ofisi na akafanikiwa kufungua ofisi ila akakosa wateja mda wa kurudisha mkopo akawa hana hela ikamlazimu kukimbia mji na dhamana aliweka kiwanja
Mkuu kuadimika kwa kitu ndo hujulisha thamani yake sokoni maana kinakuwa kinahitajika ila hakipo na hapo ndo mfanya biashara hujitosa kwenda kutafuta mahali popote ilipo na hapo akifika nayo mjini huipandisha thamanihivi kwanini demand ya kitu ikipanda watu hupandisha bei mf. tikiti maji awali iliuzwa 1500 hadi 1000 demand ikipanda linauzwa 2000 hadi 2500 mpaka 3000 na kama iyo bidhaa imeadimika sokoni inaweza uzwa mpaka 5000 kiangazazi aisee
ila yakiwa mengi hata kwa miambili utapata mawili biashara ya kilimo inaitaji moyo kweli kweli ......
naunga mkono hoja 100%Mkuu ujue linapo kuja swala la maisha huja tofauti na somo la darasani na hapo ndo utofauti unakuja maana unaweza kuwa mzuri darasani lakini kwenye maisha ukawasindikizaji na unaweza ukawa kilaza darasani na ukaja kwenye maisha ya kawaida ukatusua
karibuHodi humu
Biashara ya kilimo /mazao ya biashara inahitaji hesabu za majira basi,hivi kwanini demand ya kitu ikipanda watu hupandisha bei mf. tikiti maji awali iliuzwa 1500 hadi 1000 demand ikipanda linauzwa 2000 hadi 2500 mpaka 3000 na kama iyo bidhaa imeadimika sokoni inaweza uzwa mpaka 5000 kiangazazi aisee
ila yakiwa mengi hata kwa miambili utapata mawili biashara ya kilimo inaitaji moyo kweli kweli ......
jambo mkuu habari yakoAfandee jambo
hahaha..h kuna mtu kaidukua account yako mkuuNaombeni kuwa member humu

Majukumu mama nlitingwa mwenzioMke mwe miss u ni nini lakini jana shemela kashinda mwenyewe
huo mkopo alikopa bank auHii mikopo ilimfanya rafiki yangu mpaka leo amekuwa masikini
Alichukua mkopo akitegemea afungue ofisi na akafanikiwa kufungua ofisi ila akakosa wateja mda wa kurudisha mkopo akawa hana hela ikamlazimu kukimbia mji na dhamana aliweka kiwanja
mkuu mambo niajeMzee wa fungate upo
Tatizo biashara sio kwenye makaratasi biashara ni ubunifu unao hitaji mabadiliko ya muda wowoteUnajua biashara zetu nyingi zinamatatizo sana, upembuzi yakinifu haufanyiki
Hata aliyesoma anafanya kama mtu hajasoma vile, ni wachache sana waozichambua biashara na namna ya kuzifanya
Poyeee mke mweMajukumu mama nlitingwa mwenzio
Mambo poa kabisa, vip pande hizomkuu mambo niaje
Elimu inatutengeneza kuwa waoga wa kuthubutuwafanya biashara wote wakubwa wala hawama elimu viile ...
Afadhali nmemuona shemela anakatiza hope umefurahi nowmm sirushiki roho mke mwee
na ndomana mkulima kuja kutusua maisha na juhudi zake binafsi sana..Biashara ya kilimo /mazao ya biashara inahitaji hesabu za majira basi,
Usipoendana na majira inakula kwako
hahaha mke mwe shemela ndio anakufundisha hivyo eenhAfadhali nmemuona shemela anakatiza hope umefurahi now
ata mimi nimemuona kaja kaondoka hata sijamwambia ya moyoni ... ... ...Mambo poa kabisa, vip pande hizo
Boss wako nimemuona aisee