Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Karibu mkuu za utokako? Mr THodi humu
Karibu mkuu za utokako? Mr THodi humu
mzima kaka za weweDada mzima
Naombeni kuwa member humuKaribu mkuu za utokako? Mr T
Salama mkuuKaribu mkuu za utokako? Mr T
Hii mikopo ilimfanya rafiki yangu mpaka leo amekuwa masikiniTena na huu Umagufool ni hatari kuchukua mikopo ambayo ina risk kubwa
Sijui watarudishaje
.......
Asante mkuuSalama mkuu
Usinufanye njaa ianze kuniuma wakati nimetoka kulaNaombeni kuwa member humu
Njema Dadamzima kaka za wewe
HahahahaaUsinufanye njaa ianze kuniuma wakati nimetoka kula
hivi kwanini demand ya kitu ikipanda watu hupandisha bei mf. tikiti maji awali iliuzwa 1500 hadi 1000 demand ikipanda linauzwa 2000 hadi 2500 mpaka 3000 na kama iyo bidhaa imeadimika sokoni inaweza uzwa mpaka 5000 kiangazazi aiseeNa hizi mvua ndio hatari kabisa, hata 200 watauza,
Jamaa yangu kayalima upande wa saadan,hana hamu na kilimo hicho tena
mmm mkuu unakuja na unaondoka kama mtandao wa halotel... ... ..wakuu nilikuwepo tuwe na siku njema ,,,,
bhinamu obe akija anweke nyuzi ya kalunde tx
Mzee wa fungate upoHabari za, maporini ??!
hahaha..ha aiseeeKama hujawahi kupata 100% ukiwa chekechea,msingi au sekondari
Basi endelea kufirahia kupata 100% wakati simu inajaa chaji au unadownload vitu
![]()
![]()
![]()
.......
hivi komesha ni yasiwe mengi sokoni eeh ??Ndio wajifunze timing
Yaani wamekula hasara matikiti yanapenda maji/mvua hivyo yamestawi fresh hadi kurundikana sokoni na kuoza
.........
hahaha.ha mimi nilipata nikiwa o-levelMimi nimewahi kupata nikiwa darasa la 1 na la 2
Sijui nyie
![]()
![]()
![]()
.......
Unajua biashara zetu nyingi zinamatatizo sana, upembuzi yakinifu haufanyikiHii inawafanya wanao iga kuwa watu wakulaumu kila siku huku mwenye wazo la kibunifu akichanja mbuga na maendeleo yake
Na kuna wakati kupiga kunatufanya tuingie katika mikopo ambayo inakuja kutugarimu na mwisho wa siku tunaanza kumtafuta mchawi
Karibu transcendHodi humu
wafanya biashara wote wakubwa wala hawama elimu viile ...Wengine hawajawahi kupata japo A moja tu maisha yao yote!!!
Lakini wana A ya mafanikio kimaish..
......