Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aliwauwa sana na alisema hivi nachokifanya sasa hamuwezi kukijua, ila baadaye mtaelewa

Swali, je asinge wauwa Dunia leo hii ingekuwaje?
f4837c47602a3f41d63601085e13ce4c.jpg
b2485b820ddb688728fd59e5c98a2ee5.jpg
4f5ef3a17e8835269067afc224fe082a.jpg
Aliua mamilioni ya Wayahudi utafikiri anaua panzi tu ikiwemo kujenga kambi maalum za mateso

Ila aligundua mapema kwamba Wayahudi wana IQ kubwa na ni tishio kwa Wajerumani na ulimwengu ...ona sasa hivi wanavyosumbua kiteknolojia na hata kijeshi mfano waliweza kuwakung'uta Waarabu wa Syria walioungana na Misri.Jordan na Iraq na kuichukua Jerusalem na Ukanda wa Gaza
.....
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom