Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO
“Nibora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizo kufa”
“Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila uwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote”

hayo maneno yaliwahi tamkwa na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa letu

Alizaliwa tarehe 13/4/1922 na kufariki tarehe 14/10/1999

Ameacha mke mmoja mama maria nyerere na watto 7 mtto mmoja alifariki

muwe na siku njema.
b8ef4335a05a6e1b898e5e1b5e0f15da.jpg
4079e0cf9f822a1f08bbad9c25b69be6.jpg
Asante kwa nukuu maridhawa kutoka kwa baba wa taifa.
 
NUKUU YA LEO
“Nibora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizo kufa”
“Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila uwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote”

hayo maneno yaliwahi tamkwa na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa letu

Alizaliwa tarehe 13/4/1922 na kufariki tarehe 14/10/1999

Ameacha mke mmoja mama maria nyerere na watto 7 mtto mmoja alifariki

muwe na siku njema.
b8ef4335a05a6e1b898e5e1b5e0f15da.jpg
4079e0cf9f822a1f08bbad9c25b69be6.jpg
Kambarage alikuwa na mapungufu yake mengi tu ikiwemo kumchukia Oscar Kambona baada ya kugundua ni msomi na mtu smart
Pia ujanani alikuwa anapuliza mafegi
Shukrani kwa nukuu murua
.
.
.
.
Pole pia kuhusu kuondokewa na mama mapema mimi niliugindua umuhimu zaidi wa mama baada ya kufika na baba

.........
 
Kambarage alikuwa na mapungufu yake mengi tu ikiwemo kumchukia Oscar Kambona baada ya kugundua ni msimu na mtu smart
Pia ujanani alikuwa anapuliza mafegi
Shukrani kwa nukuu murua
.
.
.
.
Pole pia kuhusu kuondokewa na mama mapema mimi niliugindua umuhimu zaidi wa mama baada ya kufika na baba

.........
Acha tu Bitoz hakuna kama mama yaan mm nikiwa na matatizo ndio unapozidi kuchanganyikiwa hivi mama angekuepo kila kitu si kingeenda sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom