Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
Asante kwa nukuu maridhawa kutoka kwa baba wa taifa.NUKUU YA LEO
“Nibora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizo kufa”
“Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote ila uwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote”
hayo maneno yaliwahi tamkwa na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa letu
Alizaliwa tarehe 13/4/1922 na kufariki tarehe 14/10/1999
Ameacha mke mmoja mama maria nyerere na watto 7 mtto mmoja alifariki
muwe na siku njema.
![]()
![]()