Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
hahahhhNa kwa roho mbaya uliyonayo sitegemei kwa kweli. I will stick with my dentist. Kaeni na dawa yenu iwasaidie![]()
Kapata mwenza bila kutegemea jamaa kapanick mikono inatetemeka typos mwanzo mwisho wakati siyo kawaida yake. Udomozege ni shida aisee...Kumkunyeza-Kumkonyeza
Msamehe hajui alitendalohaunieshimu ww maana ungenieshimu usinge dharau familia yangu![]()
bora umuulize wewe make mi nikimuuliza na mkong'oto juu
watu kwa kuosha kwa mabebi wao!!!Wasukuma tuko kila sehemu na tunataniwa karibu na Tanzania nzima!mbona anakuita mtani
Wasukuma tuko kila sehemu na tunataniwa karibu na Tanzania nzima!![]()




denda si la nchi hii
Mh! Jamani no!Wasukuma tuko kila sehemu na tunataniwa karibu na Tanzania nzima!![]()
akukonyeze - hakukonyeze![]()

Sawa mkuu. Hongera sana. Kweli gift uliyonayo wachache wanayohahahaha ...h hii ni gift nimepewa ningeweza mwenyewe aisee
once ....:bahati ya mwenzio usilalie mlango wazii![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



Laivu kutoka Koromije hilodenda si la nchi hii
Aganza umeona eeh! Wengine huwa wanakasirika lakini mimi nikiona picha hizi tukitaniwa huwa nafurahi na kucheka sana. Zingine ziko very creative...Mh! Jamani no!
Mpotezeeni!!!.....nashangaa mnam-like!!!hivi we baba mzima kweli humu kuna mtu huwa anakuita mxxxiuuuee
Raha gani?Jf raha
Shedede niajehaunieshimu ww maana ungenieshimu usinge dharau familia yangu![]()
Mm nalike hovyo hakuna like yanguMpotezeeni!!!.....nashangaa mnam-like!!!
MhhhhhhmhhhhhLee anacheat huko maporini? Safari hizi za muda mrefu nenda naye ohooooo!
Raha tyuRaha gani?