Makapuku Forum

Makapuku Forum

mi nikaogopa nikadhani labda unanizibia ridhiki yangu aisee ........ kumbe poa saiv husna ndo my wify so naomba heshima ipande kidogo......
Heshima huwa haiombwi. It is earned! Treat her well na utaona. No big hits kama Chris Brown please...
eb42cbb59bd053dde8f0b9a6fe2139d6.jpg
 
mke mtiifu sana wewe nakuomba na pm yako ifunge na huyo shimba akija huko pm ukiona anaelekea kutaka kuku-aproach screen shot kabisa ......
Mkuu, huwa sivamii wake za watu mimi. Hasa hasa PM nitakwenda kuomba dawa ya jino tu basi. Hata nikimkuta kakaa vibaya nitatembea kinyume nyume huku nimeziba macho...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom