Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aganza umeona eeh! Wengine huwa wanakasirika lakini mimi nikiona picha hizi tukitaniwa huwa nafurahi na kucheka sana. Zingine ziko very creative...
8d44d8844c162d562c3fc41dfdf28c99.jpg
Kanda gani hiyo
 
Makapuku. Naona pain medication imeanza kuisha kwa sababu nasikia jino limeanza kusumbua. Ngoja nilale. Asanteni nyote kwa maongezi murua. Mpaka nilijisahau kama nina maumivu ya jino. You guys are like a family to me. Shedede na Husna (the newest Makapuku couple) kila la heri katika urafiki wenu. Shunie, I hope you feel better. Pray! Mungu Akipenda basi tusemeshane kesho. Goodnight!
d7adb8b7ce8de491a5e5201da1cf7d38.jpg
Goodnight bro, ugua pole
 
Makapuku. Naona pain medication imeanza kuisha kwa sababu nasikia jino limeanza kusumbua. Ngoja nilale. Asanteni nyote kwa maongezi murua. Mpaka nilijisahau kama nina maumivu ya jino. You guys are like a family to me. Shedede na Husna (the newest Makapuku couple) kila la heri katika urafiki wenu. Shunie, I hope you feel better. Pray! Mungu Akipenda basi tusemeshane kesho. Goodnight!
d7adb8b7ce8de491a5e5201da1cf7d38.jpg
Nawe pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom