Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
kwani nini kimekukuta bossacha tu nicheke hakuna namna labda machungu niliyonayo yatapungua
kwani nini kimekukuta bossacha tu nicheke hakuna namna labda machungu niliyonayo yatapungua
khee nawewe unajiliza nini mwenzio ndo nishakwea hivyo ww miaka yote hupo humu ........pole sana mtani








kwani ni shedede ni wa hukoLikely dogo anatoka kule Mto Ngono kata ya Katerero. Wana shida kubwa na h- na irabu za Kiswahili♂️
♂️
♂️
Mkaribishe vizuri aganza si ndio type yako hiyoTuko wengi. Karibu Aganza. Huku hakuna stress wala matusi. Ni utani tu kwa kwenda mbele!
Duh! Dawa zenye masharti kama za waganga wa kienyeji. Shedede mwenyewe huyu ninayemfahamu huyu. Nafwazzz...Muombe shedede akikukubalia uje pm nikuelekeze dawa
Avatar plsSawa hubby nimekuelewa![]()
katika siku zooooote leo ndo umenena mtani...Usiongee sana basi. FBI yawezekana wana tapes zako kutoka MMU. Ushapata basi uchune. Focus on the future with your new babe...
kazi ya ulinzi itabidi nifikirie mala mbili mbili kama nitaiacha au laa....



msubili lee kwanza ndio umwambie hayo maneno yakoMh! Huyu naye mi simuelewagiMfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh kabisa!!!!!!!
acha tu shedede ni mambo mambo tukwani nini kimekukuta boss
Duh! Dawa zenye masharti kama za waganga wa kienyeji. Shedede mwenyewe huyu ninayemfahamu huyu. Nafwazzz...




huo sio mstari weweMistari ya kichooovu! Mlinzi mlinzi tu aiseee![]()


kama mchawi yaanMh! Huyu naye mi simuelewagi
Duh! Dawa zenye masharti kama za waganga wa kienyeji. Shedede mwenyewe huyu ninayemfahamu huyu. Nafwazzz...

hivi we baba mzima kweli humu kuna mtu huwa anakuita mxxxiuuueeMnasemaje nawauliza ?