Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mkuu, huwa sivamii wake za watu mimi. Hasa hasa PM nitakwenda kuomba dawa ya jino tu basi. Hata nikimkuta kakaa vibaya nitatembea kinyume nyume huku nimeziba macho...

Mkuu, huwa sivamii wake za watu mimi. Hasa hasa PM nitakwenda kuomba dawa ya jino tu basi. Hata nikimkuta kakaa vibaya nitatembea kinyume nyume huku nimeziba macho...

jeusii khaaaSijui ni MTU wawapi huyo
Kukwea kwa kusaidiwa? Mpaka kujishusha hadhi na utu wako namna hiyo? Ningekuwa wewe wala nisingejishaua bali ningeuchuna tu. Umeomba kazi ya ulinzi umetafunwa na mbu maporini huko mara unafukuzwa kama mbwa na mzigo wako wa sime na marungu bado una audacity ya kujigamba? Madomozege bwana!khee nawewe unajiliza nini mwenzio ndo nishakwea hivyo ww miaka yote hupo humu ........pole sana mtani
Tupo Bongo! Zote zatoa moshi![]()
![]()
si kila treni inatoa moshi khee

We mweupe nakuheshimujeusii khaaa
Kumkunyeza-Kumkonyezaiwe mwanzo na mwisho kumkunyeza .
.....
........
....
.
Ewaaaaa avatar

Nadhani. Husna anasema Usna. Atakuwa ni wa huko huko. Faiza Foxy kapambana nao kuwarekebisha mpaka naona amebwaga manyanga.Ni shidakwani ni shedede ni wa huko



Khaaaa msukumaKukwea kwa kusaidiwa? Mpaka kujishusha hadhi na utu wako namna hiyo? Ningekuwa wewe wala nisingejishaua bali ningeuchuna tu. Umeomba kazi ya ulinzi umetafunwa na mbu maporini huko mara unafukuzwa kama mbwa na mzigo wako wa sime na marungu bado una audacity ya kujigamba? Madomozege bwana!
Simba mwenda pole huwa hana wasiwasi. Na anaweza akaghairi kunyatia windo anytime akiamua. You wait and see!
Unamaanisha nini?Mkaribishe vizuri aganza si ndio type yako hiyo
Nadhani. Husna anasema Usna. Atakuwa ni wa huko huko. Faiza Foxy kapambana nao kuwarekebisha mpaka naona amebwaga manyanga.Ni shida![]()


mbona anakuita mtani
hahahaha ...h hii ni gift nimepewa ningeweza mwenyewe aiseeKukwea kwa kusaidiwa? Mpaka kujishusha hadhi na utu wako namna hiyo? Ningekuwa wewe wala nisingejishaua bali ningeuchuna tu. Umeomba kazi ya ulinzi umetafunwa na mbu maporini huko mara unafukuzwa kama mbwa na mzigo wako wa sime na marungu bado una audacity ya kujigamba? Madomozege bwana!
Simba mwenda pole huwa hana wasiwasi. Na anaweza akaghairi kunyatia windo anytime akiamua. You wait and see!

mmh nahisi nimekosea kuandikaUnamaanisha nini?
wivu mbaya sana aiseeMaisha ya kujikomba ni shida![]()
Maisha magumu. Watu wanakuja huku kupunguza stress. Hapo katukana kala ugali wake si ajabu sasa kalala zake kwa amani.Mh! Huyu naye mi simuelewagi
haunieshimu ww maana ungenieshimu usinge dharau familia yanguWe mweupe nakuheshimu




Lee anacheat huko maporini? Safari hizi za muda mrefu nenda naye ohooooo!acha tu shedede ni mambo mambo tu