Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
me nawatakia kila la kheri mama ako nimeshawapa baraka zanguasante kwa kunisaidia ku-aproach i appreate
me nawatakia kila la kheri mama ako nimeshawapa baraka zanguasante kwa kunisaidia ku-aproach i appreate
kwahyo ulinzi basi tenanitulize tu laazizi maana nilikuwaga mlinzi b4 kwaiyo matatizo na ngumi ndogo ndogo sichezinazo mbali

msubili boss wako kwanza umwambie
mke mtiifu sana wewe nakuomba na pm yako ifunge na huyo shimba akija huko pm ukiona anaelekea kutaka kuku-aproach screen shot kabisa ......Muombe shedede akikukubalia uje pm nikuelekeze dawa
Mkuu nikuangushe kivipi tena? Husna kasema anatibu wenye matatizo ya meno. Na mimi jino linanisumbua. Sasa kweli hapo kosa langu liko wapi? Nilitaka tu kujua kama hitaghafirika ukiniona. Na umetafutwa kuanzia Jumatatu hupatikani. May be Husna kajikatia tamaa....



nyie banaLikely dogo anatoka kule Mto Ngono kata ya Katerero. Wana shida kubwa na h- na irabu za Kiswahilihakukonyeze - akukonyeze![]()
♂️
♂️
♂️
acha tu nicheke hakuna namna labda machungu niliyonayo yatapunguaCheka tuuu![]()
khee nawewe unajiliza nini mwenzio ndo nishakwea hivyo ww miaka yote hupo humu ........pole sana mtani
Usiongee sana basi. FBI yawezekana wana tapes zako kutoka MMU. Ushapata basi uchune. Focus on the future with your new babe...





waooooo asanteh bossme nawatakia kila la kheri mama ako nimeshawapa baraka zangu

WoyoooooooooooMuombe shedede akikukubalia uje pm nikuelekeze dawa
hahahah.. bby nizoee hivo my love![]()
![]()
![]()
afu baby majibu yako
Tuko wengi. Karibu Aganza. Huku hakuna stress wala matusi. Ni utani tu kwa kwenda mbele!Kumbe makapuku tuko wengi
Sawa hubby nimekuelewamke mtiifu sana wewe nakuomba na pm yako ifunge na huyo shimba akija huko pm ukiona anaelekea kutaka kuku-aproach screen shot kabisa ......

kazi ya ulinzi itabidi nifikirie mala mbili mbili kama nitaiacha au laa....kwahyo ulinzi basi tenamsubili boss wako kwanza umwambie
mke mtiifu sana wewe nakuomba na pm yako ifunge na huyo shimba akija huko pm ukiona anaelekea kutaka kuku-aproach screen shot kabisa ......






Mistari ya kichooovu! Mlinzi mlinzi tu aiseeetabasamu lako mi hoi bae






Mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh kabisa!!!!!!!
VP mkuu
KwendraaaaaaaaaaaaaMfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh mfyuuuuuuuuuuuh kabisa!!!!!!!
Mi mwenyeji mbonaTuko wengi. Karibu Aganza. Huku hakuna stress wala matusi. Ni utani tu kwa kwenda mbele!