Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana

hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King


45e0ad960a8e7b553b70e164a0edaf8f.jpg


muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.
Ubarikiwe Shunie asante kwa Nukuu
 
Mkuu makapuku kimejaa vichwa wala usishangae sema wanaJf wengi wana mtazamo hasi kuhusu hii thread ila huwa hatujali
Shukrani sana mkuu
.......
Ninachofurahia ni kuwa: Mkuu Mussolini anaweka kumbukumbu ya maneno, Bitoz anatupia picha. Yaani ni sawa na Assist ya Fabregas kwa Eden Hazard au Niyonzima kwa Msuva.
 
Haaaaahaaaa, Robinson alifungwa gori moja la kizembe sana kuwahi kutokea kwenye mpira
Alirudishiwa mpira akashindwa kuupiga ikawa bao
Rob Green naye alipigiwa kashuti dhaifu akadaka kijinga tena shuti la chinichini lililomlenga likawa bao
David Seaman naye alifungwa na Ronaldinho kwa faulo ya mbali pembeni ambayo ni aibu kwa kipa wa kariba yake
......
 
NUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana

hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King


45e0ad960a8e7b553b70e164a0edaf8f.jpg


muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.
Hongera ila ujitahidi kupngeza nyama mfano kuzaliwa lini ..kafa lini n.k itapendeza zaidi
Shukrani mkuu
.....
 
Katika maisha omba uzaliwe na bahati.

Kuna wachezaji mafundi haswa na hata wengine waliobarikiwa vipaji maridhawa lakini walikuwa katika vikosi vibaya hivyo wakashindwa kutwaa taji lolote.

Mfano Hart kwa Uingereza, Giggs kwa Wales, Luis Figo.

Halafu kuna wachezaji wabovu ila wamezaliwa katika vikosi vya dhahabu na kwa msaada wa wenzao wakashinda mataji ya kutosha.

Mfano Christoph Kramer wa Ujerumani. Nae ameshinda World cup, wachezaji wengi wa Ureno iliyochukua Euro 2016, Jesus Navas, Victor Valdes kwa Spain nk

Halafu kuna kikosi kama Uholanzi ambacho kina mafundi wa kutosha tena vipaji vya hali ya juu ila hawana bahati.

Naungana na wewe kwamba muda mwingine dunia haiko sawa.
Hata kwenye elimu kutokea
Kuna kipindi shule itakuwa na wanafunzi wazuri halafu llinakuja pepa la NECTA baya and vise versa

.....
 
NUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana

hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King


45e0ad960a8e7b553b70e164a0edaf8f.jpg


muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.


Hakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom