Njema karibuhabarini wajameni

*














View attachment 508727baadae jamani

*Muhindi 1 alibadili dini na mchungaji akamwambia kila unapokula usisahau kusali sala ya baba yetu, la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kusali kwa miezi miwili , SHETANI akamfuata Mchungaji akamwambia mkumbushe muhindi Kusali maana ataniuwa kwa pili pili!*
![]()

Hakika ni uuaji inaumiza sana ni muuwaji wa marehemu husika,adhabu yake inajulikana

Papaa nangai nakati ya Kinshasa.View attachment 508727baadae jamani
Ni shida sana aiseeWao wanapenda uwe kibaraka kinyume na hapo andaa mahali utakapotaka kuzikwa ukifa.
Uko sawa kabisaIla Fidel Castro walimshindwa akagonga hadi umri wa 90' km sijakosea pia alitawala karibia au pengine miaka 40
.......
Aisee*Muhindi 1 alibadili dini na mchungaji akamwambia kila unapokula usisahau kusali sala ya baba yetu, la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kusali kwa miezi miwili , SHETANI akamfuata Mchungaji akamwambia mkumbushe muhindi Kusali maana ataniuwa kwa pili pili!*
![]()
Mkongomani huyoView attachment 508727baadae jamani
I seeMambo ya mkorogo
![]()
Ni kweliiiiii