Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mambo ya mkorogo
930f58a9e4b82725469237f5b5d6765c.jpg
 
*Muhindi 1 alibadili dini na mchungaji akamwambia kila unapokula usisahau kusali sala ya baba yetu, la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kusali kwa miezi miwili , SHETANI akamfuata Mchungaji akamwambia mkumbushe muhindi Kusali maana ataniuwa kwa pili pili! *
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom