Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,936
Huyu kama Chizi vile!!!.....1961- Denis Rodman anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa kikapu wa zamani, mcheza movie na mwanamieleka.
Aliekti movie na Van Damme ijulukanayo kama Double Team.
Huyu kama Chizi vile!!!.....1961- Denis Rodman anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa kikapu wa zamani, mcheza movie na mwanamieleka.
Aliekti movie na Van Damme ijulukanayo kama Double Team.
HBD Toure Yaya1983 - Yaya Toure anazaliwa.
Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.
Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.
Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
HBD Lukaku1993 - Romelu Lukaku anazaliwa.
Mshambuliaji wa Everton na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Aliwahi pia kupitia Chelsea akauzwa na kocha wa kipindi hiko Jose Mourinho.
Anatajwa kama Drogba wa zama hizi. Ndie anayeongoza kwa ufungaji EPL.
Akiwa West Brom kwa mkopo akaweka rekodi ya mchezaji wa kwanza kutokea Benchi na kwenda kufunga Hat trick dhidi ya Man Utd katika EPL ambapo mechi hiyo iliishia 5-5 nayo ikiwa ni rekodi ya pekee kwani hamna mechi iliyowahi kuisha 5-5.
Ilikuwa ni mechi ya mwisho kwa Ferguson kabla ya kustaafu Ukocha.
Ahsante Mzeiya Mussolin5Leo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Chelsea niwatakie jmosi njema.
![]()
![]()
Msanaha wa sina hii inatokea kwa nadra sana
Heshima kwa Papa
........

Gervihno kapotea kimzahamzaha!!!![]()
Kizazi chao cha dhahabu Kodivaa cha akina Gervinho,Kalou n.k kilichemsha tofauti na matarajio ya wengi![]()
Wakaja kubeba AFCON kichovu wakati wameshaanza kusambaratika huku wengine wakiwa wameshabwaga manyanga
.......
Morning ShunieMorning baba mchuchu
lee ako wapi? .....mbona swaga kama za Shezni!!!Morning baba mchuchu
Timu yao hasa ile ya akina Drogba imeingia katika timu bora ambazo hazikuwahi kutwaa taji kama ilivy0 kwa England ya 2002 mpaka 2010.
Uholanzi ya mwaka 2006 mpaka 2012.
Na sasa Ubelgiji ya 2014 -
Kama Kawaida, uchumi umeyumbaBank zinaendelea kufungwa tu
Asante shemela kwa kuperuzAsante shemela kwa magazeti ubarikiwe sana
Morning mukongoGoodmorning peoples
Siwashangai, najua hata nchi yao imegawanyika, wako ulaya na Asia ndio maana ni ngumu sana wao kujiunga na jumuiya ya ulayaWaturuki wana kadamu ka kiarabu kwa mbali
Ni wazee wa mabomu na kupigania dini(jihad)
Isiwashangae
...
Pamoja papaaThanks Papaa
Yule karikitiGervihno kapotea kimzahamzaha!!!
Viongozi wengi wa America ya kusini huwa wanauwawa na USA, ukikataa tu ushirika waoKipindi hicho Hugo Chavez alikuwa bado hajaingia madarakani nafikiri baada ya kuwa Rais akawa anazinguana na Wamarekani na hata kifo chake inadaiwa CIA wanahusika
Hao ndio Wamarekani wazee wa vurugu na fitina
.......
Haaaaahaaaa, Robinson alifungwa gori moja la kizembe sana kuwahi kutokea kwenye mpira![]()
![]()
Hawa walipewa nafasi kubwa ya pengine kubeba World Cup 2014 lakini wanafanya madudu tu
Ila Wisel akaondoka na tunzo i
Ila bado wana nafasi ya kurekebisha makosa
Gawa nao wakipewa nafasi kubwa kuitikisa dunia World Cup 2010 ila wakaishia kucheza kung fu....si mnakumbuka alichofanya De Jong![]()
Ila Van Persie akatuachia kumbukumbu ya bao bora kutokana na krosi ndefu ya Daley Blind
Hawa hata kuwaelezea ni kichefuchefu walifanya madudu ya kufa MTU![]()
Ikiwepo ujinga waliokuwa wakifanta makipa wao akina Green,Robinson na wajinga wenzie
Ila Hart kaka kipindi kibaya ambacho kimejaa maboya tu km akina John Stones
.
.
Samtaimu dunia haitendi hali
......