Makapuku Forum

Makapuku Forum

1983 - Yaya Toure anazaliwa.

Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.

Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.

Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
HBD Toure Yaya
 
1993 - Romelu Lukaku anazaliwa.

Mshambuliaji wa Everton na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Aliwahi pia kupitia Chelsea akauzwa na kocha wa kipindi hiko Jose Mourinho.

Anatajwa kama Drogba wa zama hizi. Ndie anayeongoza kwa ufungaji EPL.

Akiwa West Brom kwa mkopo akaweka rekodi ya mchezaji wa kwanza kutokea Benchi na kwenda kufunga Hat trick dhidi ya Man Utd katika EPL ambapo mechi hiyo iliishia 5-5 nayo ikiwa ni rekodi ya pekee kwani hamna mechi iliyowahi kuisha 5-5.
Ilikuwa ni mechi ya mwisho kwa Ferguson kabla ya kustaafu Ukocha.
HBD Lukaku
 
789b4c9a595fee7089fc32a057abc554.jpg
c43d01b9ebca767f41187a861b54d457.jpg

Msanaha wa sina hii inatokea kwa nadra sana
Heshima kwa Papa
........
 
Timu yao hasa ile ya akina Drogba imeingia katika timu bora ambazo hazikuwahi kutwaa taji kama ilivy0 kwa England ya 2002 mpaka 2010.

Uholanzi ya mwaka 2006 mpaka 2012.

Na sasa Ubelgiji ya 2014 -
9d50c76776f0d7a3b72b1520e7ae3785.jpg
5d6341d6e50ad23c5577740bab2fd091.jpg

Hawa walipewa nafasi kubwa ya pengine kubeba World Cup 2014 lakini wanafanya madudu tu
Ila Wisel akaondoka na tunzo i

Ila bado wana nafasi ya kurekebisha makosa
29206094eb8122a6e513211119a3551e.jpg
ab7d4b240f711e752076063a746fda9e.jpg
5b206bb535ec47fa69abea98a20749af.jpg
97ad5b58bb2dbfba525c15ca5d642ce0.jpg
Hawa nao wakipewa nafasi kubwa kuitikisa dunia World Cup 2010 ila wakaishia kucheza kung fu....si mnakumbuka alichofanya De Jong
Ila Van Persie akatuachia kumbukumbu ya bao bora kutokana na krosi ndefu ya Daley Blind kule Brazil 2014
f26fa3af8c76e7accf9403b75348190b.jpg
]
bb4665f1aef640ae677c1278ebd2327f.jpg
57ecdb1cc9806281b35e49b1896c3f49.jpg
9592dff97dbebe2a70aef5e7e22ec7b9.jpg
Hawa hata kuwaelezea tu ni kichefuchefu walifanya madudu ya kufa mtu
Ikiwepo ujinga waliokuwa wakifanta makipa wao akina Green,Robinson na wajinga wenzie
Ila Hart kaka kipindi kibaya ambacho kimejaa maboya tu km akina John Stones
.
.
Samtaimu dunia haitendi hali
......
 
9d50c76776f0d7a3b72b1520e7ae3785.jpg
5d6341d6e50ad23c5577740bab2fd091.jpg

Hawa walipewa nafasi kubwa ya pengine kubeba World Cup 2014 lakini wanafanya madudu tu
Ila Wisel akaondoka na tunzo i

Ila bado wana nafasi ya kurekebisha makosa
29206094eb8122a6e513211119a3551e.jpg
ab7d4b240f711e752076063a746fda9e.jpg
Gawa nao wakipewa nafasi kubwa kuitikisa dunia World Cup 2010 ila wakaishia kucheza kung fu....si mnakumbuka alichofanya De Jong
Ila Van Persie akatuachia kumbukumbu ya bao bora kutokana na krosi ndefu ya Daley Blind
47fb3b105a4dd35007e6d40be6f0bb6c.jpg
bb4665f1aef640ae677c1278ebd2327f.jpg
Hawa hata kuwaelezea ni kichefuchefu walifanya madudu ya kufa MTU
Ikiwepo ujinga waliokuwa wakifanta makipa wao akina Green,Robinson na wajinga wenzie
Ila Hart kaka kipindi kibaya ambacho kimejaa maboya tu km akina John Stones
.
.
Samtaimu dunia haitendi hali
......
Haaaaahaaaa, Robinson alifungwa gori moja la kizembe sana kuwahi kutokea kwenye mpira
 
NUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana

hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King


45e0ad960a8e7b553b70e164a0edaf8f.jpg


muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom