AmenZABURI 113
1.Haleluya,Enyi watumishi wa BWANA ,Sifuni,lisifuni jina la BWANA.
2.Jina la BWANA lihimidiwe,Tangu leo na hata milele.
3.Toka mawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa
4.BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.
5.Ni nani aliye mfano wa BWANA ,Mungu wetu aketiye juu
6.Anyenyekeaye kutazama Mbinguni na diniani?
7.Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.
8.Amketishe pamojs na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.
9.Huweka nyumbani Mwanamke aliye tasa,Awe mama ya watoto wenye furaha
TUOMBE
Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutuamsha salama.
Tunaomba utubariki siku ya leo tukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na roho
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,wajane ,yatima watie moyo waliopondeka mioyo.
Bariki kazi za mikono yetu,tukumbuke tupate riziki halali.
Uwe kinga yetu siku ya leo tuweze kutenda yanayokupendeza,vinywa vyetu,mawazo yetu,yabariki wengine na kuponya
Leo ni siku ya wamama duniani,watie moyo wamama wote wawe wamama wenye kukupendeza sana na kubariki,wathamini familia na jamii na kutenda mambo ya kukupendeza Mungu wetu.
Asante kwa kuwa utatenda sawa na mapenzi yako Amen![]()
MBARIKIWE SIKU NJEMA![]()
![]()
Sawa shem nitaangaliaEngland EPL
shem Shunie TV1 wanaonyesha game ya Southampton![]()
HaunisubiriKapuku mpitaji Kwa muda
Uko poa lakiniSawa shem nitaangalia
Pamoja sana mkuu ChaplinShukrani mkuu shululu kwa magazeti
Nzuri, naona ndio unaamkaHabarini za mchana Makapuku
AiseeKapuku mpitaji Kwa muda
NitarudiAisee
Nipo poa shem wange za wwUko poa lakini
Sio tu chizi bali pia ni mzee wa mondeHuyu kama Chizi vile!!!.....
Katika maisha omba uzaliwe na bahati.![]()
![]()
Hawa walipewa nafasi kubwa ya pengine kubeba World Cup 2014 lakini wanafanya madudu tu
Ila Wisel akaondoka na tunzo i
Ila bado wana nafasi ya kurekebisha makosa![]()
![]()
Hawa nao wakipewa nafasi kubwa kuitikisa dunia World Cup 2010 ila wakaishia kucheza kung fu....si mnakumbuka alichofanya De Jong![]()
Ila Van Persie akatuachia kumbukumbu ya bao bora kutokana na krosi ndefu ya Daley Blind kule Brazil 2014]![]()
![]()
Hawa hata kuwaelezea tu ni kichefuchefu walifanya madudu ya kufa mtu![]()
Ikiwepo ujinga waliokuwa wakifanta makipa wao akina Green,Robinson na wajinga wenzie
Ila Hart kaka kipindi kibaya ambacho kimejaa maboya tu km akina John Stones
.
.
Samtaimu dunia haitendi hali
......
Hahaha, mkuu mbina hatujafika level hizo.Yaani hii pair ya Mussolin 5 na Bitoz inanikumbusha ile towadi ya Man U(Andy Cole na Dwirt Yoke).
Wao wanapenda uwe kibaraka kinyume na hapo andaa mahali utakapotaka kuzikwa ukifa.Viongozi wengi wa America ya kusini huwa wanauwawa na USA, ukikataa tu ushirika wao
Alirudishiwa mpira na Gary Neville katika mechi ya kufuzu Euro 2008.Haaaaahaaaa, Robinson alifungwa gori moja la kizembe sana kuwahi kutokea kwenye mpira
Safi.NUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana
hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King
![]()
muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.