Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tanzania VPL
f9158ba62ee9fc195b326fa4d76e0bf5.jpg
 
ZABURI 113

1.Haleluya,Enyi watumishi wa BWANA ,Sifuni,lisifuni jina la BWANA.

2.Jina la BWANA lihimidiwe,Tangu leo na hata milele.

3.Toka mawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa

4.BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.

5.Ni nani aliye mfano wa BWANA ,Mungu wetu aketiye juu

6.Anyenyekeaye kutazama Mbinguni na diniani?

7.Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.

8.Amketishe pamojs na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.

9.Huweka nyumbani Mwanamke aliye tasa,Awe mama ya watoto wenye furaha


TUOMBE

Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutuamsha salama.

Tunaomba utubariki siku ya leo tukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na roho

Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,wajane ,yatima watie moyo waliopondeka mioyo.

Bariki kazi za mikono yetu,tukumbuke tupate riziki halali.

Uwe kinga yetu siku ya leo tuweze kutenda yanayokupendeza,vinywa vyetu,mawazo yetu,yabariki wengine na kuponya

Leo ni siku ya wamama duniani,watie moyo wamama wote wawe wamama wenye kukupendeza sana na kubariki,wathamini familia na jamii na kutenda mambo ya kukupendeza Mungu wetu.

Asante kwa kuwa utatenda sawa na mapenzi yako Amen

MBARIKIWE SIKU NJEMA
Amen
Ubarikiwe Mama mchuchu
 
9d50c76776f0d7a3b72b1520e7ae3785.jpg
5d6341d6e50ad23c5577740bab2fd091.jpg

Hawa walipewa nafasi kubwa ya pengine kubeba World Cup 2014 lakini wanafanya madudu tu
Ila Wisel akaondoka na tunzo i

Ila bado wana nafasi ya kurekebisha makosa
29206094eb8122a6e513211119a3551e.jpg
ab7d4b240f711e752076063a746fda9e.jpg
5b206bb535ec47fa69abea98a20749af.jpg
97ad5b58bb2dbfba525c15ca5d642ce0.jpg
Hawa nao wakipewa nafasi kubwa kuitikisa dunia World Cup 2010 ila wakaishia kucheza kung fu....si mnakumbuka alichofanya De Jong
Ila Van Persie akatuachia kumbukumbu ya bao bora kutokana na krosi ndefu ya Daley Blind kule Brazil 2014
f26fa3af8c76e7accf9403b75348190b.jpg
]
bb4665f1aef640ae677c1278ebd2327f.jpg
57ecdb1cc9806281b35e49b1896c3f49.jpg
9592dff97dbebe2a70aef5e7e22ec7b9.jpg
Hawa hata kuwaelezea tu ni kichefuchefu walifanya madudu ya kufa mtu
Ikiwepo ujinga waliokuwa wakifanta makipa wao akina Green,Robinson na wajinga wenzie
Ila Hart kaka kipindi kibaya ambacho kimejaa maboya tu km akina John Stones
.
.
Samtaimu dunia haitendi hali
......
Katika maisha omba uzaliwe na bahati.

Kuna wachezaji mafundi haswa na hata wengine waliobarikiwa vipaji maridhawa lakini walikuwa katika vikosi vibaya hivyo wakashindwa kutwaa taji lolote.

Mfano Hart kwa Uingereza, Giggs kwa Wales, Luis Figo.

Halafu kuna wachezaji wabovu ila wamezaliwa katika vikosi vya dhahabu na kwa msaada wa wenzao wakashinda mataji ya kutosha.

Mfano Christoph Kramer wa Ujerumani. Nae ameshinda World cup, wachezaji wengi wa Ureno iliyochukua Euro 2016, Jesus Navas, Victor Valdes kwa Spain nk

Halafu kuna kikosi kama Uholanzi ambacho kina mafundi wa kutosha tena vipaji vya hali ya juu ila hawana bahati.

Naungana na wewe kwamba muda mwingine dunia haiko sawa.
 
Haaaaahaaaa, Robinson alifungwa gori moja la kizembe sana kuwahi kutokea kwenye mpira
Alirudishiwa mpira na Gary Neville katika mechi ya kufuzu Euro 2008.

Halafu ilikuwa ni mechi muhimu sana, wakafungwa na kufanya washindwe kufuzu Euro 2008 na kusababisha Steve Mc Claren kibarua kiote nyasi.
 
NUKUU YA LEO
Everything that we see is a shadow cast by that we do not see.
yakiwa na maana kila kitu tunachokiona ni kivuli cha muhusika asieonekana

hayo maneno yaliwahi tamkwa na Martin Luther King


45e0ad960a8e7b553b70e164a0edaf8f.jpg


muwe na siku njema mbarikiwe
T shemela wangu nakuwakilisha kwenye nukuu kama nakosea utanisamehe.
Safi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom