Makapuku Forum

Makapuku Forum

3ae05107be78eac5970a5ac9af6ae676.jpg
hongera zao chelsea kwa ubingwa wa epl hongera lee wangu bila kumsahau binamu obe
 
ZABURI 113

1.Haleluya,Enyi watumishi wa BWANA ,Sifuni,lisifuni jina la BWANA.

2.Jina la BWANA lihimidiwe,Tangu leo na hata milele.

3.Toka mawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa

4.BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.

5.Ni nani aliye mfano wa BWANA ,Mungu wetu aketiye juu

6.Anyenyekeaye kutazama Mbinguni na diniani?

7.Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.

8.Amketishe pamojs na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.

9.Huweka nyumbani Mwanamke aliye tasa,Awe mama ya watoto wenye furaha


TUOMBE

Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutuamsha salama.

Tunaomba utubariki siku ya leo tukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na roho

Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,wajane ,yatima watie moyo waliopondeka mioyo.

Bariki kazi za mikono yetu,tukumbuke tupate riziki halali.

Uwe kinga yetu siku ya leo tuweze kutenda yanayokupendeza,vinywa vyetu,mawazo yetu,yabariki wengine na kuponya

Leo ni siku ya wamama duniani,watie moyo wamama wote wawe wamama wenye kukupendeza sana na kubariki,wathamini familia na jamii na kutenda mambo ya kukupendeza Mungu wetu.

Asante kwa kuwa utatenda sawa na mapenzi yako Amen

MBARIKIWE SIKU NJEMA
Ameen mama mama mchuchu
 
shululu na BlessedHope asanteni kwa magazeti na sala. Sitochoka kusema mnafanya Makapuku forum iamke na kuanza vizuri.
Mdhamini Shunie asante kwa kuwezesha. Siku moja moja udhamini gitaa niwe nakuimba ...ewaaa wapi auntie shunie mudhamini ya gitaa...la la la la, hebu nidhamini kwa BH


Ngoja niende kwa maveterani hapo jeshini nikazimue
binamu shikamoo haya nitadhamini leo
 
1983 - Yaya Toure anazaliwa.

Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.

Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.

Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
happy birthday yaya
 
ZABURI 113

1.Haleluya,Enyi watumishi wa BWANA ,Sifuni,lisifuni jina la BWANA.

2.Jina la BWANA lihimidiwe,Tangu leo na hata milele.

3.Toka mawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa

4.BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.

5.Ni nani aliye mfano wa BWANA ,Mungu wetu aketiye juu

6.Anyenyekeaye kutazama Mbinguni na diniani?

7.Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.

8.Amketishe pamojs na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.

9.Huweka nyumbani Mwanamke aliye tasa,Awe mama ya watoto wenye furaha


TUOMBE

Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutuamsha salama.

Tunaomba utubariki siku ya leo tukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na roho

Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,wajane ,yatima watie moyo waliopondeka mioyo.

Bariki kazi za mikono yetu,tukumbuke tupate riziki halali.

Uwe kinga yetu siku ya leo tuweze kutenda yanayokupendeza,vinywa vyetu,mawazo yetu,yabariki wengine na kuponya

Leo ni siku ya wamama duniani,watie moyo wamama wote wawe wamama wenye kukupendeza sana na kubariki,wathamini familia na jamii na kutenda mambo ya kukupendeza Mungu wetu.

Asante kwa kuwa utatenda sawa na mapenzi yako Amen

MBARIKIWE SIKU NJEMA
Amina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom