Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Nashukuru mkuuUbarikiwe Mussolin5,kazi yako ni njema uwe na siku njema![]()
Nashukuru mkuuUbarikiwe Mussolin5,kazi yako ni njema uwe na siku njema![]()
hongera zao chelsea kwa ubingwa wa epl
hongera lee wangu bila kumsahau binamu obe
Bank zinaendelea kufungwa tu
Asante shemela kwa magazeti ubarikiwe sanaView attachment 508534Sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa Shunie,
Nawatakieni jumamos njema na sabato njema
Ameen mama mama mchuchuZABURI 113
1.Haleluya,Enyi watumishi wa BWANA ,Sifuni,lisifuni jina la BWANA.
2.Jina la BWANA lihimidiwe,Tangu leo na hata milele.
3.Toka mawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa
4.BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.
5.Ni nani aliye mfano wa BWANA ,Mungu wetu aketiye juu
6.Anyenyekeaye kutazama Mbinguni na diniani?
7.Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.
8.Amketishe pamojs na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.
9.Huweka nyumbani Mwanamke aliye tasa,Awe mama ya watoto wenye furaha
TUOMBE
Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutuamsha salama.
Tunaomba utubariki siku ya leo tukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na roho
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,wajane ,yatima watie moyo waliopondeka mioyo.
Bariki kazi za mikono yetu,tukumbuke tupate riziki halali.
Uwe kinga yetu siku ya leo tuweze kutenda yanayokupendeza,vinywa vyetu,mawazo yetu,yabariki wengine na kuponya
Leo ni siku ya wamama duniani,watie moyo wamama wote wawe wamama wenye kukupendeza sana na kubariki,wathamini familia na jamii na kutenda mambo ya kukupendeza Mungu wetu.
Asante kwa kuwa utatenda sawa na mapenzi yako Amen![]()
MBARIKIWE SIKU NJEMA![]()
![]()
Mama mchuchu shikamooMAJI NI KILA KITU WACHA HATUA ZICHUKULIWE
shululu na BlessedHope asanteni kwa magazeti na sala. Sitochoka kusema mnafanya Makapuku forum iamke na kuanza vizuri.
Mdhamini Shunie asante kwa kuwezesha. Siku moja moja udhamini gitaa niwe nakuimba ...ewaaa wapi auntie shunie mudhamini ya gitaa...la la la la, hebu nidhamini kwa BH
Ngoja niende kwa maveterani hapo jeshini nikazimue



binamu shikamoo haya nitadhamini leo
Happy birthday steve1950 - Stevie Wonder anazaliwa.
Mwanamuziki kutoka Marekani ambaye ana ulemavu wa macho.
Happy birthday Denis1961- Denis Rodman anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa kikapu wa zamani, mcheza movie na mwanamieleka.
Aliekti movie na Van Damme ijulukanayo kama Double Team.
happy birthday yaya1983 - Yaya Toure anazaliwa.
Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.
Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.
Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
Wangekamatwa wote waliokiwepo hapo na kukabidhiwa kwa TISS wateswe kichatpchato zen wanahamishiwa gereza la Kolomije qatalimishwa viazi na matembele maisha yao yotePata picha Sizonje ndio kafanyiwa hivyo, sidhani kama kungekuwa na msamaha
Asante Mussolin kwa historiaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Chelsea niwatakie jmosi njema.
Waturuki wana kadamu ka kiarabu kwa mbaliWaturuki kwa kuua tu hawajambo
Papa John Paul anatufundisha kusamehe, hata kama umetendewa ukubwa gani wa ovu,lazima usamehe
Thanks PapaaView attachment 508534Sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa Shunie,
Nawatakieni jumamos njema na sabato njema
Morning baba mchuchuGoodmorning peoples
AminaZABURI 113
1.Haleluya,Enyi watumishi wa BWANA ,Sifuni,lisifuni jina la BWANA.
2.Jina la BWANA lihimidiwe,Tangu leo na hata milele.
3.Toka mawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa
4.BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.
5.Ni nani aliye mfano wa BWANA ,Mungu wetu aketiye juu
6.Anyenyekeaye kutazama Mbinguni na diniani?
7.Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.
8.Amketishe pamojs na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.
9.Huweka nyumbani Mwanamke aliye tasa,Awe mama ya watoto wenye furaha
TUOMBE
Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutuamsha salama.
Tunaomba utubariki siku ya leo tukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na roho
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,wajane ,yatima watie moyo waliopondeka mioyo.
Bariki kazi za mikono yetu,tukumbuke tupate riziki halali.
Uwe kinga yetu siku ya leo tuweze kutenda yanayokupendeza,vinywa vyetu,mawazo yetu,yabariki wengine na kuponya
Leo ni siku ya wamama duniani,watie moyo wamama wote wawe wamama wenye kukupendeza sana na kubariki,wathamini familia na jamii na kutenda mambo ya kukupendeza Mungu wetu.
Asante kwa kuwa utatenda sawa na mapenzi yako Amen![]()
MBARIKIWE SIKU NJEMA![]()
![]()

Asante kwa picha za historia Bitoz
hapa akiwa na mdogo wake![]()
Sikumbuki kilichomlizaNext season nafikiri atasajiliwa na timu kubwa Everton hawana jeuri ya kumbakiza![]()
.
.
.
Shukrani mkuu kwa historia
Nikutakie sabato njema
.........
Kipindi hicho Hugo Chavez alikuwa bado hajaingia madarakani nafikiri baada ya kuwa Rais akawa anazinguana na Wamarekani na hata kifo chake inadaiwa CIA wanahusikaUbabe wa Amerika kwa nchi nyingi za Amerika ya kusini.
Pamoja sanaAksante sana