Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo Katika Historia:

1940 - Malkia Wilhelmina wa Uholanzi anakimbia nchi yake mara baada ya majeshi ya Ujerumani kuvamia nchi hiyo wakati wa vita ya pili ya dunia.

Malkia huyo alikimbilia Uingereza.
a08a72ab56f7869faf9b7b9a898a9aba.jpg
92c97c267ab20c338635608647bd728a.jpg

Wanawake kwa uwoga
Angekuwa Mfalme angekomaa hadi dk ya Mwisho
.....
 
1983 - Yaya Toure anazaliwa.

Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.

Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.

Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
 
1981 - Mehmet Ali Agca anajaribu kumuua Papa John Paul II kwa kumpiga na risasi katika eneo la St Peter Square huko Jijini Rome.

Ali raia wa Uturuki alihukumiwa kifungo cha maisha jela, lakini mara baada ya kutumikia miaka 19 jela nchini Italy alisamehewa lakini akahamishiwa nchini kwake ambapo alitumikia miaka 10 mingine na kuachiwa huru mwaka 2010.

Papa John Paul II alimtembelea Ali jela kumjulia hali nankumuambia amemsamehe.

Hii ilimfanya Ali alipotoka jela mwaka 2010 kwenda kuzuru kaburi la Papa na alilia sana.
Waturuki kwa kuua tu hawajambo

Papa John Paul anatufundisha kusamehe, hata kama umetendewa ukubwa gani wa ovu,lazima usamehe
 
1983 - Yaya Toure anazaliwa.

Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.

Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.

Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
HBD Yaya
 
1993 - Romelu Lukaku anazaliwa.

Mshambuliaji wa Everton na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Aliwahi pia kupitia Chelsea akauzwa na kocha wa kipindi hiko Jose Mourinho.

Anatajwa kama Drogba wa zama hizi. Ndie anayeongoza kwa ufungaji EPL.

Akiwa West Brom kwa mkopo akaweka rekodi ya mchezaji wa kwanza kutokea Benchi na kwenda kufunga Hat trick dhidi ya Man Utd katika EPL ambapo mechi hiyo iliishia 5-5 nayo ikiwa ni rekodi ya pekee kwani hamna mechi iliyowahi kuisha 5-5.
Ilikuwa ni mechi ya mwisho kwa Ferguson kabla ya kustaafu Ukocha.
 
1993 - Romelu Lukaku anazaliwa.

Mshambuliaji wa Everton na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Aliwahi pia kupitia Chelsea akauzwa na kocha wa kipindi hiko Jose Mourinho.

Anatajwa kama Drogba wa zama hizi. Ndie anayeongoza kwa ufungaji EPL.

Akiwa West Brom kwa mkopo akaweka rekodi ya mchezaji wa kwanza kutokea Benchi na kwenda kufunga Hat trick dhidi ya Man Utd katika EPL ambapo mechi hiyo iliishia 5-5 nayo ikiwa ni rekodi ya pekee kwani hamna mechi iliyowahi kuisha 5-5.
Ilikuwa ni mechi ya mwisho kwa Ferguson kabla ya kustaafu Ukocha.
Aisee, HBD lukaku
 
1981 - Mehmet Ali Agca anajaribu kumuua Papa John Paul II kwa kumpiga na risasi katika eneo la St Peter Square huko Jijini Rome.

Ali raia wa Uturuki alihukumiwa kifungo cha maisha jela, lakini mara baada ya kutumikia miaka 19 jela nchini Italy alisamehewa lakini akahamishiwa nchini kwake ambapo alitumikia miaka 10 mingine na kuachiwa huru mwaka 2010.

Papa John Paul II alimtembelea Ali jela kumjulia hali nankumuambia amemsamehe.

Hii ilimfanya Ali alipotoka jela mwaka 2010 kwenda kuzuru kaburi la Papa na alilia sana.
789b4c9a595fee7089fc32a057abc554.jpg
c43d01b9ebca767f41187a861b54d457.jpg

Msanaha wa sina hii inatokea kwa nadra sana
Heshima kwa Papa
........
 
1983 - Yaya Toure anazaliwa.

Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.

Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.

Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
eb5db586fd44d1342e5257087417e17e.jpg
64422a5f70c7d75be70d84afa3bf4d36.jpg
6c0777830ca9ab5060f6c7e0998eb241.jpg
Kizazi chao cha dhahabu Kodivaa cha akina Gervinho,Kalou n.k kilichemsha tofauti na matarajio ya wengi
Wakaja kubeba AFCON kichovu wakati wameshaanza kusambaratika huku wengine wakiwa wameshabwaga manyanga
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom