shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Aisee1967 - Dr. Zakir Husain anakuwa Rais wa tatu wa India pia na kuwa Rais wa kwanza muislam kuongoza Taifa hilo.
Aisee1967 - Dr. Zakir Husain anakuwa Rais wa tatu wa India pia na kuwa Rais wa kwanza muislam kuongoza Taifa hilo.
Leo Katika Historia:
1940 - Malkia Wilhelmina wa Uholanzi anakimbia nchi yake mara baada ya majeshi ya Ujerumani kuvamia nchi hiyo wakati wa vita ya pili ya dunia.
Malkia huyo alikimbilia Uingereza.
Waturuki kwa kuua tu hawajambo1981 - Mehmet Ali Agca anajaribu kumuua Papa John Paul II kwa kumpiga na risasi katika eneo la St Peter Square huko Jijini Rome.
Ali raia wa Uturuki alihukumiwa kifungo cha maisha jela, lakini mara baada ya kutumikia miaka 19 jela nchini Italy alisamehewa lakini akahamishiwa nchini kwake ambapo alitumikia miaka 10 mingine na kuachiwa huru mwaka 2010.
Papa John Paul II alimtembelea Ali jela kumjulia hali nankumuambia amemsamehe.
Hii ilimfanya Ali alipotoka jela mwaka 2010 kwenda kuzuru kaburi la Papa na alilia sana.
HBD Stevie1950 - Stevie Wonder anazaliwa.
Mwanamuziki kutoka Marekani ambaye ana ulemavu wa macho.
HBD Denis1961- Denis Rodman anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa kikapu wa zamani, mcheza movie na mwanamieleka.
Aliekti movie na Van Damme ijulukanayo kama Double Team.
1958 - Msafara wa Makamu wa Rais wa Marekani Richard Nixon washambuliwa na waandamanaji wa Kimarekani huko katika ziara yake nchini Venezuela.
HBD Yaya1983 - Yaya Toure anazaliwa.
Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.
Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.
Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
1967 - Dr. Zakir Husain anakuwa Rais wa tatu wa India pia na kuwa Rais wa kwanza muislam kuongoza Taifa hilo.
Aisee, HBD lukaku1993 - Romelu Lukaku anazaliwa.
Mshambuliaji wa Everton na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Aliwahi pia kupitia Chelsea akauzwa na kocha wa kipindi hiko Jose Mourinho.
Anatajwa kama Drogba wa zama hizi. Ndie anayeongoza kwa ufungaji EPL.
Akiwa West Brom kwa mkopo akaweka rekodi ya mchezaji wa kwanza kutokea Benchi na kwenda kufunga Hat trick dhidi ya Man Utd katika EPL ambapo mechi hiyo iliishia 5-5 nayo ikiwa ni rekodi ya pekee kwani hamna mechi iliyowahi kuisha 5-5.
Ilikuwa ni mechi ya mwisho kwa Ferguson kabla ya kustaafu Ukocha.
Asante dikteta kwa leo katika historiaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Chelsea niwatakie jmosi njema.
1981 - Mehmet Ali Agca anajaribu kumuua Papa John Paul II kwa kumpiga na risasi katika eneo la St Peter Square huko Jijini Rome.
Ali raia wa Uturuki alihukumiwa kifungo cha maisha jela, lakini mara baada ya kutumikia miaka 19 jela nchini Italy alisamehewa lakini akahamishiwa nchini kwake ambapo alitumikia miaka 10 mingine na kuachiwa huru mwaka 2010.
Papa John Paul II alimtembelea Ali jela kumjulia hali nankumuambia amemsamehe.
Hii ilimfanya Ali alipotoka jela mwaka 2010 kwenda kuzuru kaburi la Papa na alilia sana.
Sana aisee![]()
![]()
Msanaha wa sina hii inatokea kwa nadra sana
Heshima kwa Papa
........
1950 - Stevie Wonder anazaliwa.
Mwanamuziki kutoka Marekani ambaye ana ulemavu wa macho.
1961- Denis Rodman anazaliwa.
Mchezaji wa mpira wa kikapu wa zamani, mcheza movie na mwanamieleka.
Aliekti movie na Van Damme ijulukanayo kama Double Team.
Aksante sana kwa maombi yenuMungu ni mwema siku zoteubarikiwe sana kwa kupona
1983 - Yaya Toure anazaliwa.
Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.
Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.
Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
HongeraDr.Zakir Husain kuwa raisi wa tatu wa India1967 - Dr. Zakir Husain anakuwa Rais wa tatu wa India pia na kuwa Rais wa kwanza muislam kuongoza Taifa hilo.