Makapuku Forum

Makapuku Forum

ZABURI 113

1.Haleluya,Enyi watumishi wa BWANA ,Sifuni,lisifuni jina la BWANA.

2.Jina la BWANA lihimidiwe,Tangu leo na hata milele.

3.Toka mawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa

4.BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.

5.Ni nani aliye mfano wa BWANA ,Mungu wetu aketiye juu

6.Anyenyekeaye kutazama Mbinguni na diniani?

7.Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.

8.Amketishe pamojs na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.

9.Huweka nyumbani Mwanamke aliye tasa,Awe mama ya watoto wenye furaha


TUOMBE

Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutuamsha salama.

Tunaomba utubariki siku ya leo tukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na roho

Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,wajane ,yatima watie moyo waliopondeka mioyo.

Bariki kazi za mikono yetu,tukumbuke tupate riziki halali.

Uwe kinga yetu siku ya leo tuweze kutenda yanayokupendeza,vinywa vyetu,mawazo yetu,yabariki wengine na kuponya

Leo ni siku ya wamama duniani,watie moyo wamama wote wawe wamama wenye kukupendeza sana na kubariki,wathamini familia na jamii na kutenda mambo ya kukupendeza Mungu wetu.

Asante kwa kuwa utatenda sawa na mapenzi yako Amen

MBARIKIWE SIKU NJEMA
 
ZABURI 113

1.Haleluya,Enyi watumishi wa BWANA ,Sifuni,lisifuni jina la BWANA.

2.Jina la BWANA lihimidiwe,Tangu leo na hata milele.

3.Toka mawio ya jua hata machweo yake Jina la BWANA husifiwa

4.BWANA ni mkuu juu ya mataifa yote,Na utukufu wake ni juu ya mbingu.

5.Ni nani aliye mfano wa BWANA ,Mungu wetu aketiye juu

6.Anyenyekeaye kutazama Mbinguni na diniani?

7.Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.

8.Amketishe pamojs na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.

9.Huweka nyumbani Mwanamke aliye tasa,Awe mama ya watoto wenye furaha


TUOMBE

Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni asante kwa kutuamsha salama.

Tunaomba utubariki siku ya leo tukinge na hatari mbalimbali na ajali mbalimbali za mwili na roho

Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,wajane ,yatima watie moyo waliopondeka mioyo.

Bariki kazi za mikono yetu,tukumbuke tupate riziki halali.

Uwe kinga yetu siku ya leo tuweze kutenda yanayokupendeza,vinywa vyetu,mawazo yetu,yabariki wengine na kuponya

Leo ni siku ya wamama duniani,watie moyo wamama wote wawe wamama wenye kukupendeza sana na kubariki,wathamini familia na jamii na kutenda mambo ya kukupendeza Mungu wetu.

Asante kwa kuwa utatenda sawa na mapenzi yako Amen

MBARIKIWE SIKU NJEMA
Amen, Asante kwa neno mama mchungaji
 
shululu na BlessedHope asanteni kwa magazeti na sala. Sitochoka kusema mnafanya Makapuku forum iamke na kuanza vizuri.
Mdhamini Shunie asante kwa kuwezesha. Siku moja moja udhamini gitaa niwe nakuimba ...ewaaa wapi auntie shunie mudhamini ya gitaa...la la la la, hebu nidhamini kwa BH


Ngoja niende kwa maveterani hapo jeshini nikazimue
 
shululu na BlessedHope asanteni kwa magazeti na sala. Sitochoka kusema mnafanya Makapuku forum iamke na kuanza vizuri.
Mdhamini Shunie asante kwa kuwezesha. Siku moja moja udhamini gitaa niwe nakuimba ...ewaaa wapi auntie shunie mudhamini ya gitaa...la la la la, hebu nidhamini kwa BH


Ngoja niende kwa maveterani hapo jeshini nikazimue
Pamoja sana mzee Obe, jumamos njema
 
shululu na BlessedHope asanteni kwa magazeti na sala. Sitochoka kusema mnafanya Makapuku forum iamke na kuanza vizuri.
Mdhamini Shunie asante kwa kuwezesha. Siku moja moja udhamini gitaa niwe nakuimba ...ewaaa wapi auntie shunie mudhamini ya gitaa...la la la la, hebu nidhamini kwa BH


Ngoja niende kwa maveterani hapo jeshini nikazimue
Asante Obe ubarikiwe nyuzi zilinilaza unono,nilifurahi sanakwa maveterani,polepole Obe tunakuhitaji sana sana .
 
1981 - Mehmet Ali Agca anajaribu kumuua Papa John Paul II kwa kumpiga na risasi katika eneo la St Peter Square huko Jijini Rome.

Ali raia wa Uturuki alihukumiwa kifungo cha maisha jela, lakini mara baada ya kutumikia miaka 19 jela nchini Italy alisamehewa lakini akahamishiwa nchini kwake ambapo alitumikia miaka 10 mingine na kuachiwa huru mwaka 2010.

Papa John Paul II alimtembelea Ali jela kumjulia hali nankumuambia amemsamehe.

Hii ilimfanya Ali alipotoka jela mwaka 2010 kwenda kuzuru kaburi la Papa na alilia sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom