Makapuku Forum

Makapuku Forum

1981 - Mehmet Ali Agca anajaribu kumuua Papa John Paul II kwa kumpiga na risasi katika eneo la St Peter Square huko Jijini Rome.

Ali raia wa Uturuki alihukumiwa kifungo cha maisha jela, lakini mara baada ya kutumikia miaka 19 jela nchini Italy alisamehewa lakini akahamishiwa nchini kwake ambapo alitumikia miaka 10 mingine na kuachiwa huru mwaka 2010.

Papa John Paul II alimtembelea Ali jela kumjulia hali nankumuambia amemsamehe.

Hii ilimfanya Ali alipotoka jela mwaka 2010 kwenda kuzuru kaburi la Papa na alilia sana.
NGUVU YA MSAMAHA TUSAMEHE BILA KUCHAGUA TULICHOKOSEWA
 
1993 - Romelu Lukaku anazaliwa.

Mshambuliaji wa Everton na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Aliwahi pia kupitia Chelsea akauzwa na kocha wa kipindi hiko Jose Mourinho.

Anatajwa kama Drogba wa zama hizi. Ndie anayeongoza kwa ufungaji EPL.

Akiwa West Brom kwa mkopo akaweka rekodi ya mchezaji wa kwanza kutokea Benchi na kwenda kufunga Hat trick dhidi ya Man Utd katika EPL ambapo mechi hiyo iliishia 5-5 nayo ikiwa ni rekodi ya pekee kwani hamna mechi iliyowahi kuisha 5-5.
Ilikuwa ni mechi ya mwisho kwa Ferguson kabla ya kustaafu Ukocha.
657fe1cf03c976d5c9c475508f909a72.jpg
b0597875be2bcf2048194f67f337610a.jpg
hapa akiwa na mdogo wake
Sikumbuki kilichomliza
d9c3fe0cca8c95319d36c255437283a5.jpg
Next season nafikiri atasajiliwa na timu kubwa Everton hawana jeuri ya kumbakiza
.
.
.
Shukrani mkuu kwa historia
Nikutakie sabato njema
.........
 
1983 - Yaya Toure anazaliwa.

Kiungo wa Man City na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Aliwahi pia kuchezea Barcelona.

Moja ya viungo bora kuwahi kutokea katika bara la Africa. Anasifika kwa kumudu kucheza katika jukumubla Box-to-Box midfielder ambapo anauwezo wa kukaba na hapohapo uwezo wa kushambulia.

Ametwaa kila taji kwa ngazi ya klabu.
HBD Yaya Toure
 
1993 - Romelu Lukaku anazaliwa.

Mshambuliaji wa Everton na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Aliwahi pia kupitia Chelsea akauzwa na kocha wa kipindi hiko Jose Mourinho.

Anatajwa kama Drogba wa zama hizi. Ndie anayeongoza kwa ufungaji EPL.

Akiwa West Brom kwa mkopo akaweka rekodi ya mchezaji wa kwanza kutokea Benchi na kwenda kufunga Hat trick dhidi ya Man Utd katika EPL ambapo mechi hiyo iliishia 5-5 nayo ikiwa ni rekodi ya pekee kwani hamna mechi iliyowahi kuisha 5-5.
Ilikuwa ni mechi ya mwisho kwa Ferguson kabla ya kustaafu Ukocha.
HBD Romelu Lukaku
 
1/Tear Bomba
330a28efb14f1a40a8d5ae8739c3296a.jpg
1a747ca87310e60a2271111a6c388d56.jpg
c69c968ce6095f043bc2ea4450414759.jpg

Hili Bomu ni noma ndo baba lao kwa silaha za maangamizi ya halaiki

Lilitengenezwa na Muungano wa Kisoviet ili kupambana na mkakati wa kinyuklia wa Marekani
Linaruka hadi maili 40 angani ambao ni urefu X 7 ya Mlima Everest
Lilishindikana kubebwa kwa ndege sababu ya ukubwa/uzito wake pia likirushwa kwa ndege uwezekano wa marubabi kupona Ni 50%
Hilo ndo bomu hatari zaidi la kinyuklia
Mwisho
......
Aksante sana
 
eb5db586fd44d1342e5257087417e17e.jpg
64422a5f70c7d75be70d84afa3bf4d36.jpg
6c0777830ca9ab5060f6c7e0998eb241.jpg
Kizazi chao cha dhahabu Kodivaa cha akina Gervinho,Kalou n.k kilichemsha tofauti na matarajio ya wengi
Wakaja kubeba AFCON kichovu wakati wameshaanza kusambaratika huku wengine wakiwa wameshabwaga manyanga
.......
Timu yao hasa ile ya akina Drogba imeingia katika timu bora ambazo hazikuwahi kutwaa taji kama ilivy0 kwa England ya 2002 mpaka 2010.

Uholanzi ya mwaka 2006 mpaka 2012.

Na sasa Ubelgiji ya 2014 -
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom