Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Joselyn Damas
3ae16d86161a441bc55a69146ac8e350.jpg
b90615f5f1a2e85e78fde5a3c841610e.jpg

Huyu ni muongoza vipindi vua luninga huko Ghana
Pia ni mwigizaji anapatikana kwenye muvi kama Silver Rain,A Sting in aTale na mfululizo wa muvi za Adams Apples
Ana umri wa miaka 36 lakini anaonekana kama kigori
........
Nimependa mavazi yake,kajitahidi sana ,ni mrembo nitatafuta kazi zake
 
1/Noni Zondi
f6ad44fbe6eef8b6e1f02b0957c2082a.jpg
e5110ad36871fd1b0c06edf717836bfb.jpg

Huyu ni celeb wa huko Afrika Kusini
Anaishi pia jijini London
Hujishughulisha na mambo mengi ya Sana'a ikiwepo muziki
.
.
.
Shukrani kwa mliofuatilia mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
...............
Ubarikiwe sana jamani Mungu aliumba na bado anaumba tumshukuru sana sana kwa uumbaji wake ...watu ni wazuri..wanavipaji..wasomi..hakika tumshukuru Mungu

Asante mkuu Bitoz kwa makala hii kazi yako ni njema .

Shunie ukishona ule mshono ukitoka vzr niambie nami nijaribu,ila fundi mwambie kabisa yangu iwe ndefu.
 
Ubarikiwe sana jamani Mungu aliumba na bado anaumba tumshukuru sana sana kwa uumbaji wake ...watu ni wazuri..wanavipaji..wasomi..hakika tumshukuru Mungu

Asante mkuu Bitoz kwa makala hii kazi yako ni njema .

Shunie ukishona ule mshono ukitoka vzr niambie nami nijaribu,ila fundi mwambie kabisa yangu iwe ndefu.
sawa mama mchuchu nimeusave kabisa
 
Kwani wasio na misambwanda huwa hawaporomoki? Father time spares no one, isn't it? Akifikia hatua ya kuporomoka na mimi nitakuwa nimeporomoka kwa hivyo tunakwenda kwenye hayo maporomoko pamoja na miporomoko yetu HAPPILY. Kwema mtumishi?
Nimefurahi unaelewa hiyo kanuni mtumishi

Wako watu mke akianza kunyonyesha,anamchukia kabisa,akianza kuporomoka anahama nyumbani,ninachofahamu mtu anavyokua mtu mzima ndio anazidi kuwa mzuri na kuvutia ,maporomoko yako pande zote tuyapokee kwa upendo

Namshukuru Mungu sijambo,ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom