Makapuku Forum



Ni kweli kabisa mama mchungaji
 
TOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa
Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....
.
.
Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
Hakuna hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi
Karibuni
..........
 
10/Tracy Obonna Huyu ni muigizaji wa Nollywood huko nchini Nigeria ambaye pia huishi huko kwa Trump
Ana elimu ya Shahada ya Uzamili(Masters in Business and Finance)
Ni Mkurugenzi Mtendaji(CEO) wa kampuni ya Sediore Cosmetics
Tracy hujishughulisha pia na uanamitindo
............
 


Wazo zuri sana mdau, naamini kwenye kipande ambacho huwa napandisha wadau Makapuku wanaweza kupendekeza "title" yake.

Labda kwa uchache, kwangu kama ilivyo kwa wengi wetu, siishii tu kueleza utamu wa gitaa na mpigaji.

Gitaa katika muziki ni kinogesho wa kile kinachowasilishwa na mtunzi, mwandishi kwa hadhira yake.
Muziki ni maisha na bila muziki maisha yetu yangekuwa very boring, kila siku tungekuwa watu wa viwanda tu, vita tuu, kazi tuu na vitu vingine vinavyochosha. Muziki umerahisisha haya na kuyafanya yawe rahisi.

Muziki ni maisha, ni aina ya kipekee ambayo mtu anaweza kujieleza na akaeleka kwa urahisi. Wapo wasioweza kujieleza, wana aibu ila muziki unawapa kujiamini na kusikizwa.

Kwenye gitaa la muziki kuna kila kitu unachowaza, kuna sayansi, hesabu, mapenzi, siasa, kisasi, maendeleo, hisia, nia, mapinduzi, shukrani, imani/dini na chochote unachowaza. Nguvu ya muziki inajieleza katika haya niliyotaja
Niandike nini nisikuchoshe, nitakuwekea muziki na siku zote naamini tuliumbwa na anayependa muziki.

Weka pendekezo lako hapa. Tukutane baada ya muda mfupi nikikuletea mambo ya sauti tamu za gitaa.
 
Leta maneno
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…