wasaidizi wepi hao mamaSawa tutajitahidi kukutag
Ila huwa naona una wasidizi wengi(natania)
Kazi yao ndio hiyo,si unajua kusudi la Mungu kukupa msaidizi,ni kanuni ya kibiblia...
MWANZO 2
18.BWANA MUNGU akasema ,si vyema huyo mtu awe peke yake ,nitamfanyia maid oz I wa kufanana naye.
Wasaidizi wanapaswa kuchukua majukumu yao.
Asante sana nimejifunza mengi sana ubarikiwe
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
Mwisho
..........
Hapo juu ya thread kuna option ya search ukiandika tu "Top Ten" unazipata fastaNitashukuru sana kaka
Nasumbuka sana kuzipata
Asante ubarikiwe
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
Mwisho
..........
Itakuwa siyo huyoLile kasha lake vipi huwa naona wanauza kwa ajili ya mapambo kma sijafananisha
mmhuu sijajua hayo mautundu mkuuHapo juu ya thread kuna option ya search ukiandika tu "Top Ten" unazipata fasta
........
Nafikiri EthiopiaSifahamu,inalimwa?ipo hapa kwetu?
mmhuu sijajua hayo mautundu mkuu
si unakumbuka hata kuweka Link ulinifundisha ww
Asante sana nimejifunza mengi sana ubarikiwe
Pamoja sana wadauAsante ubarikiwe
Ahsante madengeunaanza hivi Hapa unaangalia unachohitaji kwa kuangalia maneno ya mwanzo mwanzo yanasemaje
Kisha mchezo umeisha
.........
Pamoja sana mkuu bitozNdo nimetoka kuyasoma
Shukrani mkuu
....
AmenZABURI 143
8.Unifanye kusikia fadhili zako asubuhi ,Kwa maana nimekutumainia Wewe Unijulishe njia nitakayoiendea ,Kwa maana nakuinulia nafsi yangu.
TUOMBE
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa majeshi asante kwa siku mpya ya leo na kutuamsha salama,wapo watu wengi walitamani kuiona siku ya leo walikua na mipango mingi na maono mbalimbali lakini hawajaweza ,wengine umewaita,wengine ni mahututi vitandani,wengine wanachangamoto mbalimbali Baba sisi ni nani hatuna cha kukupa zaidi ya kusema Asante
Tunaomba utusamehe makosa yote tunayotenda kwa mawazo maneno na matendo uturehemu twa kusihi.
Waponye wagonjwa,fariji wafiwa,watie nguvu yatima,wajane ,wahitaji wakutumainie wewe tu.
Tunakabidhi mapito yetu yote,nyoosha njia zetu Baba tunajikabidhi kwako tujulishe njia sahihi ya kuiendea siku yaleo
Tunaomba maafa ya mvua yaishe ponya majeraha yote ya mafuriko,maporomoko,mvua isiyokoma ,neema yako itawale.
Bariki wasafiri majini ,nchi kavu na angani wafike salama
Tunaomba Amani na Upendo vitawale
Tunaomba bariki kazi za mikono yetu
Tunaomba Roho Mtakatifu atuongoze ,tusipungukiwe.
Katika jina la Yesu tunaomba na kushukuru Amen
Raha ya milele uwape marehemu wote,na mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa Amani Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA
Meshndaje mke mweeendio nyie mkiwa mjini mnajifanya kilugha chenu hamkitaki kwendraaa
Mungu amrehemuDar imenyesha huku kwetu,hakika nimekesha namshukuru Mungu na kumwambia Baba imetosha kwa wiki hii,jana kuna mtu amekufa maji jangwani masikini nimeona anavyotolewa nimeumiaaa maana alikua anahangaika kuokota machupa auze apate riziki,maji yamekatisha uhai wake
Mungu atusaidie kwa kweliWadada wengi hawajielewi kabisa
Wengine wanalingishia wenzao kuwa mimi niko vizuri, wewe huko vizuri, siku ya siku unaenda kujifungua mtoto anatoka amekufa, ni hatari sana
yaaani wewe unaroho mbya ambayo sijawahi kuiona jf khaaaaJamani eeh! Shedede kapotea. Sasa Husna utamsubiri mpaka lini? Wakati mijibaba tena ya nguvu tupo hapa? Shunie rekebisha mambo please ili Shimba na Husna IKIWEZEKANA wawe couple mpya hapa Makapuku. Husna (jina zuri hili!) unasemaje?
safi tu mke mwee za wwMeshndaje mke mweee
Sanaaa shemelaWadada wengi hawajielewi kabisa
Wengine wanalingishia wenzao kuwa mimi niko vizuri, wewe huko vizuri, siku ya siku unaenda kujifungua mtoto anatoka amekufa, ni hatari sana