Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Motorcross
a45a743d7d1a1407d4ef1199f85699c6.jpg
f9e9217103590ee2082b7e14cb90fd1b.jpg

Haya ni maonyesho/mashindano au mbio pengine mchezo ya pikipiki kwenye barabara za vumbi au sehemu maalumu iliyotengenezwa mafuta/vilima
Sasa huu mchezo unaendesha pikipiki kwa spidi kubwa halafu ukifika kwenye kilima unarushwa juu pengine umbali wa futi 10 na hata 50 sasa hapo ukikosea mahesabu shauri yako
Pia mara nyingine pikipiki inapata hitilafu ya kiufundi
Ilitokea ajali watu huumia vibaya na hata kufa
...........
 
2fda76bdd0601a10e30166f3f435a26b.jpg

Huyu mzee Hii Wizara haimfai
.....
Wakupe wewe angalau kwa miezi mitatu hivi ujaribu?

Kuna hoja imezuka duniani kote kuwa pengine democracy (whatever that means) has run its course na kwa sasa dunia inatafuta mfumo mpya. Hali ya kiuchumi inavyozidi kuwa tete na pengo kati ya masikini na matajiri likizidi kuongezeka, demokrasia pengine haitafaa tena katika kuleta ridhiko na utangamano katika jamii. Badala yake udikteta (katika sura zake mbalimbali) ndiyo mfumo pendelewa. Marekani yenyewe ambayo ndiyo ilikuwa mlinzi wa demokrasia hii ya Kimagharibi leo hii chini ya Trump hali imeanza kuwa tete.

Anyway, huyu mzee ana tabia ya kutoa matamko ya ajabu kwa hivyo hata hili halishangazi sana japo inavyoonekana hii wizara mpya hii ameikamia kweli kweli. Twafaaaaa!!!
 
10/Motorcross
a45a743d7d1a1407d4ef1199f85699c6.jpg
f9e9217103590ee2082b7e14cb90fd1b.jpg

Haya ni maonyesho/mashindano au mbio pengine mchezo ya pikipiki kwenye barabara za vumbi au sehemu maalumu iliyotengenezwa mafuta/vilima
Sasa huu mchezo unaendesha pikipiki kwa spidi kubwa halafu ukifika kwenye kilima unarushwa juu pengine umbali wa futi 10 na hata 50 sasa hapo ukikosea mahesabu shauri yako
Pia mara nyingine pikipiki inapata hitilafu ya kiufundi
Ilitokea ajali watu huumia vibaya na hata kufa
...........
Natumaini ndondi na Mixed Martial Arts havitakosekana! Ordering popcorn now...
 
9/Rugby
b4e90fc00284806d71bc1de4b30b10a9.jpg
7f76d31ba2254d330e4eb2eb2e12c769.jpg

Huu mchezo nao ni hatari
Kwa Afrika unachezwa zaidi wazungu Wa Afrika ya Kusini
Wachezaji wake ni mbavu nene maana kuna kukimbia,krruka na kusukumana hivyo wengi huumia mbavu,kuvunjika pia,kuzimia n.k
Ajali zake mbaya mara nyingi ni zile za kugongana ambazo wachezaji huzimia na hata kupoteza maisha
........
 
Wakupe wewe angalau kwa miezi mitatu hivi ujaribu?

Kuna hoja imezuka duniani kote kuwa pengine democracy (whatever that means) has run its course na kwa sasa dunia inatafuta mfumo mpya. Hali ya kiuchumi inavyozidi kuwa tete na pengo kati ya masikini na matajiri likizidi kuongezeka, demokrasia pengine haitafaa tena katika kuleta ridhiko na utangamano katika jamii. Badala yake udikteta (katika sura zake mbalimbali) ndiyo mfumo pendelewa. Marekani yenyewe ambayo ndiyo ilikuwa mlinzi wa demokrasia hii ya Kimagharibi leo hii chini ya Trump hali imeanza kuwa tete.

Anyway, huyu mzee ana tabia ya kutoa matamko ya ajabu kwa hivyo hata hili halishangazi sana japo inavyoonekana hii wizara mpya hii ameikamia kweli kweli. Twafaaaaa!!!
Kweli
 
10/Motorcross
a45a743d7d1a1407d4ef1199f85699c6.jpg
f9e9217103590ee2082b7e14cb90fd1b.jpg

Haya ni maonyesho/mashindano au mbio pengine mchezo ya pikipiki kwenye barabara za vumbi au sehemu maalumu iliyotengenezwa mafuta/vilima
Sasa huu mchezo unaendesha pikipiki kwa spidi kubwa halafu ukifika kwenye kilima unarushwa juu pengine umbali wa futi 10 na hata 50 sasa hapo ukikosea mahesabu shauri yako
Pia mara nyingine pikipiki inapata hitilafu ya kiufundi
Ilitokea ajali watu huumia vibaya na hata kufa
...........
Hatari ila watakuwa wanajiandaa mazoezi ya kutosha
Tena nitatulia km MTU anaejamba
 
Mdomo unaumba acha kujitamkia mambo yasiyo kweli,yakitokea utaomba nikuombee,siku utashtukia transfer from masaki to manzese kambi ya fisi.
Hizi fake ID 's zinatufanya tutamke mengiiiii, Mungu atusaidie tupone

Hebu sikiza khs ULIMI
YAKOBO 3

9.Kwa huo twsmhimidi Mungu Baba yetu ,na kws huo twalaani wanadamu waliofanywa kws mfano wa Mungu.

10.katika kinywa kilekile kwatoka baraka na laana

Hebu tujitabirie mema na mazuri,sisemi manzese ni pabaya lakini sifa ya uwanja wa fisi wote tumewahi isikia hivi kweli mpendwa wangu Shunie unapenda kuishi hapo,basi tafuta mahali pengine hatutakuja
kwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom