Makapuku Forum

Huu mchezo huu
 
6/Hockey
Huu mchezo unaweza kuudharau lakini ni hatari kinoma
Sababu?
Wachezaji huvaa kofia ngumu na viatu vya kuteleza/matairi hivyo kusababisha mtu kuanguka kwa urahisi na pengine kujigonga ukutani pindi akisukumwa
Sasa pia unaweza kujikuta unateleza na kuchanika msamba
Huu mchezo unahitaji umakini mkubwa na nguvu
Mara kadhaa wachezaji hufanyiana ubabeubabe tu
.........
 
Napendaga wanavyovaa yaaan marobot si robot
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…