Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Rugby
b4e90fc00284806d71bc1de4b30b10a9.jpg
7f76d31ba2254d330e4eb2eb2e12c769.jpg

Huu mchezo nao ni hatari
Kwa Afrika unachezwa zaidi wazungu Wa Afrika ya Kusini
Wachezaji wake ni mbavu nene maana kuna kukimbia,krruka na kusukumana hivyo wengi huumia mbavu,kuvunjika pia,kuzimia n.k
Ajali zake mbaya mara nyingi ni zile za kugongana ambazo wachezaji huzimia na hata kupoteza maisha
........
Michezo ya hatari sana
 
9/Rugby
b4e90fc00284806d71bc1de4b30b10a9.jpg
7f76d31ba2254d330e4eb2eb2e12c769.jpg

Huu mchezo nao ni hatari
Kwa Afrika unachezwa zaidi wazungu Wa Afrika ya Kusini
Wachezaji wake ni mbavu nene maana kuna kukimbia,krruka na kusukumana hivyo wengi huumia mbavu,kuvunjika pia,kuzimia n.k
Ajali zake mbaya mara nyingi ni zile za kugongana ambazo wachezaji huzimia na hata kupoteza maisha
........
 
8/Wrestling
542aef1e2cc6c4856591d612985b27a9.jpg
5e2e006f123f135f26bce8ee5fce94a9.jpg

Huu mchezo ukiwaangalia akina John Cena,Hulk Horgan ,Machoman n.k utauona kama maigizo tu
Kuna mieleka ya aina nyingi pia ya ridhaa...hapa pia wanakutana madume ya soka mwendo wa kupogana vipepsi na makabali tu
Wengi huvunjika mifupa..pia inapotokea mtu kurushwa nje ya ulingo ni hatari
Pia ulingo unapowekewa sentence
Don't try this at home!!!!
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom