shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Si wanakaa kwenye hifadhiAsanteni Wamasai kwa kutuwakilisha vyema. Mmeupiku Mlima Kilimanjaro, Ziwa Victoria na vivutio vingine vya utalii![]()
Si wanakaa kwenye hifadhiAsanteni Wamasai kwa kutuwakilisha vyema. Mmeupiku Mlima Kilimanjaro, Ziwa Victoria na vivutio vingine vya utalii![]()
Karibu Shululu mzima?umepotea sana Mungu akubarikiAsante kwa neno mama mtumishi
nakaa manzese uwanja wa fisiAaah dada unaka vingunguti au manzese
Lee alisema anabadilishia kazinani kamwambia aende porini na wakati aliambiwa anilinde mm na boss wake
Shemela lushoto hapaendekiPole yao
Heshima mbele kama tai!!!Cc Werasson baba mchungaji
All the time God is good
Amen mama mtumishiZABURI 9
9.BWANA atakuwa ngome kwake aliyeonewa,naam ngome kwa wakatibwa shida.
MATHAYO 11
28.Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kuelemewa na mizigo,nami nitawapumzisha
MPE YESU MIZIGO YOTE UTAPUMZIKA
Alizaliwa nchi gani kweliNakumbuka mwaka mmoja siku ya watu duniani tulisherehekea mtoto wa bilioni sita![]()
Sawa dadakeehuku nilipo mvua inanyesha mafuriko hamna
Aiseesio msemaji wako ila namwambia ajue
Kabla na baada ya neno PRAYER kuna mtu kashika bastola mbili
Sijui ndio sali sala yako ya mwisho
All the time God is good

Mungu amtunze huko alipohahaha kesho au kesho kutwa anarudi mama mchuchu
hahahah ushoto hakuendeki kabisa panda shambalai ukahangaike kwenye matope na ninasikia magari hayasafiriShemela lushoto hapaendeki
Oooh picha ya fisi na huo uwanja wake Tafadhalinakaa manzese uwanja wa fisi
Asilete mchezonaijua unamweka rangi ipi bana rudisha converse
alimsamehe alimrudisha kwanguLee alisema anabadilishia kazi
Mbavu zangu sasshahahah jichekee mama mchuchu maisha yenyewe mafupi mama yangu
Woyoooooooo ila baba mchuchu unatuharibia mama mchuchu ujue