ni nanisio udhamini wa binamu ni udhamini wa new baby wa shemela shululu
Shusha nondo mkuu niko mubashara hapa10/Salman Bin Abdulaziz Al Saud
Huyu ni mfalme wa Saudi Arabia aliyezaliwa tarehe 31 Desemba 1935
Ni mtoto wa mwisho wa mwasisi wa Taifa la Saudi Arabia....alianza kuiongoza Saudi Arabia mnamo Januari 23 2015 baaday ya kifo cha kakaye aitwaye Abdallah Abdulaziz ambaye ndo alikuwa mfalme hivyo akatawazwa rasmi
Ana umri wa miaka 81
..........
BaeAcheni hizoo basi..
mkuu vipShusha nondo mkuu niko mubashara hapa
hahaha! kuna dogo langu home kila siku anaanguka kitandani! sijui anaotaga nini!
Ameokoka leo?Hizi mvua na likizo hiii... Sijui huyu beki tatu atachomoaje
hapo kwenye vikojoleo ndo kuna shinda kidogo... alikuwa anafanya zamu kwa zamu wakati wa kugegedaJe wajua?
Kijana aliyeitwa Francesco Lentini alikua na miguu mitatu (legs) vikanyagio vinne (feet) vidole kumi na sita na alikua na vikojoleo viwili (penis) vinavyofanya kazi naliishi miaka 70 akiwa kama mwana sarakasi.
safi kwema ?mkuu vip
mama obama bila shaka atakuwa ana nyanyua chuma8/Paul Biya
Huyu ni Rais wa Cameroon ambaye amezaliwa Februari 13 mnamo mwaka 1933
Ndiye anashikiria rekodi ya Rais wa kuchaguliwa aliyepo madarakani muda mrefu zaidi wa miaka 33 yaani anashinda kila uchaguzi ukifanyika
Ana umri wa miaka 84
.............
Aaah dada tunasema kikwetu Jana si amesema atakuwa shemeji yangushululu ujue hapendi hayo mambo sana
Sawa mkuuAtarudi tu
Umemwangalia vizuri mke wa Biya?mama obama bila shaka atakuwa ana nyanyua chuma