Makapuku Forum

Makapuku Forum

miss u kiboko yangu mpk nakufwa baby ushajifunza hayo maandishi ya marangi mm sipendi yananiumiza macho au sijui ndio ushamba wangu

bora umerudi jana usiku walikua wanakuua kwa maneno shemela shululu na tetra
nakumis mama kipenda roho changu ....najua unakosa amani nikiwa mbali na wewe ila soon ntakuwa available mda wote
nimeweka rangi kuonesha msisitizo
 
67e1bb3e1671f0cf7a1bf664d37b398a.jpg

Hii picha ni aibu
Umakini wa mtu huanzia kwenye mavazi
Nyerere alikuwa smart kimavazi hadi uongeaji,matendo n.k
JK ndo kabisa japo alikuwa "dhaifu"
Viongozi wengi mahiri mfano Mandela ukiwachunguza picha zao za ujanani utagundua kitu

Hivyo tusimshangae huyu mzee wa kuropoka na kukurupuka km mavazi yake

...........
 
67e1bb3e1671f0cf7a1bf664d37b398a.jpg

Hii picha ni aibu
Umakini wa mtu huanzia kwenye mavazi
Nyerere alikuwa smart kimavazi hadi uongeaji,matendo n.k
JK ndo kabisa japo alikuwa "dhaifu"
Viongozi wengi mahiri mfano Mandela ukiwachunguza picha zao za ujanani utagundua kitu

Hivyo tusimshangae huyu mzee wa kuropoka na kukurupuka km mavazi yake

...........
 
67e1bb3e1671f0cf7a1bf664d37b398a.jpg

Hii picha ni aibu
Umakini wa mtu huanzia kwenye mavazi
Nyerere alikuwa smart kimavazi hadi uongeaji,matendo n.k
JK ndo kabisa japo alikuwa "dhaifu"
Viongozi wengi mahiri mfano Mandela ukiwachunguza picha zao za ujanani utagundua kitu

Hivyo tusimshangae huyu mzee wa kuropoka na kukurupuka km mavazi yake

...........
hivi huyu ni bwana yulee?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom