Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shida alilishwa sumu ya kuwa asiondoke Roma ili aje apewe ukepteni mara baada ya kustaafu kwa El Capitano de la Roma, Fransisco Totti. Sasa Totti anastaafu mwisho wa msimu huu lakini De Rossi umri ushaanza kumtupa mkono now ana miaka 33.
Kipindi man wanataka kumchukua alitakiwa kukubali kwa 100%,alipoanza kuifikiria Roma tu akachemsha
 
4/Millie & Christine Mc Coy
348cc041185a92b515ed05f547e5be52.jpg
e958379c587bb7007321069c1aeec225.jpg

Walizaliwa huko North Carolina 1851 wazazi wao wakiwa ni watumwa
Waliuzwa wangali wakiwa wadogo ili watumike kuburudisha kwenye matamasha mbalimbali
Wakiwa kwenye shoo walitekwa na kupekekwa huko Uingereza pia kwenye matamasha ya kucheza na kuimba
Walifariki wakiwa na miaka 61
..........
Aisee
 
1/Giaconno & Giovanni Battista
4549fbaa0935526d835cdc1ff7bea12c.jpg
19d08e22ae2496bb7c2d7f4d132dccd9.jpg

Hawa walizaliwa mwaka 1877
Kuungana kwao kulisababisha washindwe kutembea na kutumia kiti cha magurudumu maisha yao yote
Walifanya ziara mbalimbali kwa kipindi cha miaka 20
Walifanikiwa kuoa wanawake tofauti

Mwisho
Tukutane J3
............

Shukrani Mkuu, hakika Mungu ni Mkubwa.
 
Michael Ballack - Namba 13

Ballack alikuwa anamhusudu sana mshambuliaji wa zamani wa Ujerumani, Rudi Voller ambaye alikuwa anava jezi namba 13. Hivyo Ballack aliposajiliwa na Bayer Leverkusen, alimkuta Rudi Voller ndio mkurugenzi wa Michezo wa klabu hiyo, Ballack akashauriwa kuvaa namba 13. Kumbe alichagua namba ya mkosi bila kujijua.

Bayern Munich
ballack_bayern_home_0506-0x314.jpg


Ujerumani
michael-ballack_11.jpg


Bayer Levekusen
article-0-0ACD808C000005DC-594_306x423.jpg


Chelsea
Aliposajiliwa Chelsea alikuta namba 13 inavaliwa na William Gallas, yeye akaomba namba 13 kama sehemu ya mkataba wake inavyosema.
Hivyo Gallas akanyang'anywa namba 13 ili apewe Ballack, kitendo hiko kilimchukiza Gallas akaomba kuhama na kutua Arsenal.
Chelsea+v+Blackburn+Rovers+Premier+League+-DrMBy7TPqJl.jpg
Unaona ee namba zinaleta uhasama
 
2/Ladan & Laleh Bijani
7846fc0ebcf3a57dca70066597beeebe.jpg
94b3f47527299d5549051b7e1f25670b.jpg
4d07e64ffb666f27d9f182396b5bc8d5.jpg
Hawa walizaliwa Iran mwaka 1979 wakati wa mapinduzi hali iliyopelekea kuwa chini ya matunzo ya daktari hadi miaka michache baadaye
Walikuwa wakitofautiana kwa mambo mengi mfano mmoja alitaka kuwa Wakili huku mwingine alitaka kuwa mwandishi wa habari hali iliyopelekea watamani kutenganishwa japo walielezwa Ni hatari
Wakati wa operesheni ya kuwatenganisha walikuwepo madaktari bingwa wa upasuaji 28 pamoja na wahudumu 100
Baada ya kutenganishwa wakafariki masaa machache baadaye
.......
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom