Makapuku Forum

Makapuku Forum

20722e5a83e1c2fa6e000a01a307490a.jpg
d444461278570f612aa775660116c4a5.jpg
Hata uvaaji wao ilikuwa ni wa kufanana
Wakiwa kwenye matukio mbalimbali walivaa nguo zilizofanana
......
marafiki wa kweli
 
ZABURI

14. Maneno ya kinywa changu ,Na mawazo ya moyo wangu ,yapate kibali mbele zako ,Ee Bwana ,Mwamba na Mwokozi wangu


Yatupasa kumuomba Mungu sana kutupa kibali kwa maneno tunayoyatamka,tunayojitamkia na kuwaambia wengine ili yawe ya

Kubariki
Kuponya
Kusaidia wengine wajisikie vema

Hili linawezekana tukimuomba Mungu tu,peke yetu hatuwezi


TUOMBE

BABA tunakuja mbele zako asubuhi hii tukikushukuru kwa wema wako na fadhili zako,Asante kutuamsha tena salama

Tunaomba toba kwa makosa yetu yote,tusamehe,tusaidie tuanze mwenendo mpya

Tunaomba ponya wagonjwa,fariji wafiwa,ponya najeraha ya mioyo iliyovunjika,angalia wajane na yatima,saidia tusonge mbele huku tukikutegemea

Bariki kazi za mikono yetu

Asante Baba maana utatenda na mapenzi yako yatimizwe

Tunakuomba wapokee marehemu wetu,wapumzike kwa amani

Tunaomba na kushukuru kwa jina la Yesu amen
MBARIKIWE SIKU NJEMA
 
ZABURI

14. Maneno ya kinywa changu ,Na mawazo ya moyo wangu ,yapate kibali mbele zako ,Ee Bwana ,Mwamba na Mwokozi wangu


Yatupasa kumuomba Mungu sana kutupa kibali kwa maneno tunayoyatamka,tunayojitamkia na kuwaambia wengine ili yawe ya

Kubariki
Kuponya
Kusaidia wengine wajisikie vema

Hili linawezekana tukimuomba Mungu tu,peke yetu hatuwezi


TUOMBE

BABA tunakuja mbele zako asubuhi hii tukikushukuru kwa wema wako na fadhili zako,Asante kutuamsha tena salama

Tunaomba toba kwa makosa yetu yote,tusamehe,tusaidie tuanze mwenendo mpya

Tunaomba ponya wagonjwa,fariji wafiwa,ponya najeraha ya mioyo iliyovunjika,angalia wajane na yatima,saidia tusonge mbele huku tukikutegemea

Bariki kazi za mikono yetu

Asante Baba maana utatenda na mapenzi yako yatimizwe

Tunakuomba wapokee marehemu wetu,wapumzike kwa amani

Tunaomba na kushukuru kwa jina la Yesu amen
MBARIKIWE SIKU NJEMA
 
ZABURI

14. Maneno ya kinywa changu ,Na mawazo ya moyo wangu ,yapate kibali mbele zako ,Ee Bwana ,Mwamba na Mwokozi wangu


Yatupasa kumuomba Mungu sana kutupa kibali kwa maneno tunayoyatamka,tunayojitamkia na kuwaambia wengine ili yawe ya

Kubariki
Kuponya
Kusaidia wengine wajisikie vema

Hili linawezekana tukimuomba Mungu tu,peke yetu hatuwezi


TUOMBE

BABA tunakuja mbele zako asubuhi hii tukikushukuru kwa wema wako na fadhili zako,Asante kutuamsha tena salama

Tunaomba toba kwa makosa yetu yote,tusamehe,tusaidie tuanze mwenendo mpya

Tunaomba ponya wagonjwa,fariji wafiwa,ponya najeraha ya mioyo iliyovunjika,angalia wajane na yatima,saidia tusonge mbele huku tukikutegemea

Bariki kazi za mikono yetu

Asante Baba maana utatenda na mapenzi yako yatimizwe

Tunakuomba wapokee marehemu wetu,wapumzike kwa amani

Tunaomba na kushukuru kwa jina la Yesu amen
MBARIKIWE SIKU NJEMA
Ameen mama mchuchu ubarikiwe sana
 
ZABURI

14. Maneno ya kinywa changu ,Na mawazo ya moyo wangu ,yapate kibali mbele zako ,Ee Bwana ,Mwamba na Mwokozi wangu


Yatupasa kumuomba Mungu sana kutupa kibali kwa maneno tunayoyatamka,tunayojitamkia na kuwaambia wengine ili yawe ya

Kubariki
Kuponya
Kusaidia wengine wajisikie vema

Hili linawezekana tukimuomba Mungu tu,peke yetu hatuwezi


TUOMBE

BABA tunakuja mbele zako asubuhi hii tukikushukuru kwa wema wako na fadhili zako,Asante kutuamsha tena salama

Tunaomba toba kwa makosa yetu yote,tusamehe,tusaidie tuanze mwenendo mpya

Tunaomba ponya wagonjwa,fariji wafiwa,ponya najeraha ya mioyo iliyovunjika,angalia wajane na yatima,saidia tusonge mbele huku tukikutegemea

Bariki kazi za mikono yetu

Asante Baba maana utatenda na mapenzi yako yatimizwe

Tunakuomba wapokee marehemu wetu,wapumzike kwa amani

Tunaomba na kushukuru kwa jina la Yesu amen
MBARIKIWE SIKU NJEMA
amen!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom