Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,930
Nasi twamsalimuMkubhi anakusalimieni
Nasi twamsalimuMkubhi anakusalimieni
Vijijini huko Kolomije nyoka jambo la kawaida sana na nimeshawakanyaga mno japo nina bahati hawajawahi kuning'ata. Hata hivyo nina urafiki wa ajabu na nge na nilikuwa sipitishi mwezi bila kung'atwa. Muziki wake nao si wa mchezo hasa akikung'ata sawasawa.
Naenda kuanza form one boarding naweka tu sweta mgongoni akanitandika. Aisee safari ya masaa manane kwenye basi nilikwenda naugulia maumivu...
!!!Leo umerudi eehHahaha
Dawa yake baada ya kuumwa nae ni nini?Vijijini huko Kolomije nyoka jambo la kawaida sana na nimeshawakanyaga mno japo nina bahati hawajawahi kuning'ata. Hata hivyo nina urafiki wa ajabu na nge na nilikuwa sipitishi mwezi bila kung'atwa. Muziki wake nao si wa mchezo hasa akikung'ata sawasawa.
Naenda kuanza form one boarding naweka tu sweta mgongoni akanitandika. Aisee safari ya masaa manane kwenye basi nilikwenda naugulia maumivu...
2kg!!! SimaliziUmekuwa mtoto mukongo mpaka 30mns ushindwe

Ukatili sio suraKatili lakini ana Babyface!!!
Km gobolenimependa BINDUKI zao
Ndo ivoNow, nimepata jibu
Huyo anaangaliaga documentary(CD, mikanda n.k)mkuu unaonekana wewe ni mutu ya zamani sana eeeeh
Hongera sanaWe acha tu. Tiketi imeshakatwa na kuahirisha safari kisa nge was not an option. Niliichukulia kama challenge yangu kielimu and I kept the fire kiasi kwamba nikaweza kupata first class tupu mpaka Mlimani. Usichezee scorpion hata siku moja mkuu![]()
MaujikoMimi huwa natwanga tu bila dawa

Mi nipo mbona. Sema tunatofautiana mida.Leo umerudi eeh
Nipe lipote za huko..
Waoh!!!.....Glory to GodAnz kukemea kwanzq utajua ni nini,pia inategemea nq imani yako penda kumwaga maji ya baraka ndani ya nyumba nq mazingira au nunua mafuta ya mzeituni ,chumvi changanya kwenye maji, yaombee yawe damu ya Yesu,kwa imani mambo mengi yatabadilikq
Kuna mapaka yakikua kila siku yanalala dirishani kwangu na kulia vibayaaaa,nikaombea maji nikaweka chumvi nikaweka imani ,hakika baada ya wiki nilsikia harufu za ajabu,yalikufa![]()
Mm mwenyewe timu popo no saa sita ndio naingia humu..Mi nipo mbona. Sema tunatofautiana mida.
Naingiaga humu usiku usiku
Hahaha... Naingia saa tisaMm mwenyewe timu popo no saa sita ndio naingia humu..
Ila hua sikuoni.
Merci MadamePole sana ,ni shida

Unatenda zaaambi(in childish voice)Phobia niliyonayo ni juu ya wanyama wa porini ila hawa sijui wadudu au nyoka napenda kuwaua kila nikiwaona.
Wapi???Umenikumbusha mbali BINDUKI![]()
![]()
![]()
Huwezi kuondoa gari kwa namba 3Juzi nimehonja Red wine nimetapika balaa ndio hata sikuimeza niliiweka mdomoni tu..