Makapuku Forum

Makapuku Forum

Vijijini huko Kolomije nyoka jambo la kawaida sana na nimeshawakanyaga mno japo nina bahati hawajawahi kuning'ata. Hata hivyo nina urafiki wa ajabu na nge na nilikuwa sipitishi mwezi bila kung'atwa. Muziki wake nao si wa mchezo hasa akikung'ata sawasawa.

Naenda kuanza form one boarding naweka tu sweta mgongoni akanitandika. Aisee safari ya masaa manane kwenye basi nilikwenda naugulia maumivu...
!!!
 
Vijijini huko Kolomije nyoka jambo la kawaida sana na nimeshawakanyaga mno japo nina bahati hawajawahi kuning'ata. Hata hivyo nina urafiki wa ajabu na nge na nilikuwa sipitishi mwezi bila kung'atwa. Muziki wake nao si wa mchezo hasa akikung'ata sawasawa.

Naenda kuanza form one boarding naweka tu sweta mgongoni akanitandika. Aisee safari ya masaa manane kwenye basi nilikwenda naugulia maumivu...
Dawa yake baada ya kuumwa nae ni nini?
 
Anz kukemea kwanzq utajua ni nini,pia inategemea nq imani yako penda kumwaga maji ya baraka ndani ya nyumba nq mazingira au nunua mafuta ya mzeituni ,chumvi changanya kwenye maji, yaombee yawe damu ya Yesu,kwa imani mambo mengi yatabadilikq


Kuna mapaka yakikua kila siku yanalala dirishani kwangu na kulia vibayaaaa,nikaombea maji nikaweka chumvi nikaweka imani ,hakika baada ya wiki nilsikia harufu za ajabu,yalikufa
Waoh!!!.....Glory to God
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom