Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Unakwenda wapi
Unakwenda wapi
Hata ya2kg!!! Simalizi![]()

AhsanteTOP TEN
Leo tutaangalia nyoka wakubwa zaidi kuwahi kuwepo duniani(walio hai au waliotoweka)
Kipimo ni urefu wao
NB
................................
Mita 1 = Futi 3.3
Python=Chatu
....................................
Karibuni
.........
Umekuwa popoMi nipo mbona. Sema tunatofautiana mida.
Naingiaga humu usiku usiku
Ila kuna siku nilikuwa site huko wilayani Bahi mida ya usiku nilikuwa niko na mrembo wa kigogo jirani nasi kulikuwa na mti, so ili kuweza kumlaghai yule manzi nilipitisha mkono kwa mabega yake ili awe close nami suddenly nilihisi kuchomwa na kitu ila nilipotezea nikidhani ni sungusungu mdudu kumbe ni nge, nilishtuka maumivu yalipozidi na mkono kuanza kuishiwa nguvu, yule manzi nilimuacha na kurejea nilipofikia. Nilijichanja kidogo na kukamua sumu ila sikulala usiku ule na asubuhi ndio mkono hauna nguvu kabisa.
After 20hrs nikapona kabisa
una mbwembwe wewe!!!
Aaah sikuwez mie huo ni muda wa kuimarisha ndoa na mama watoto.Hahaha... Naingia saa tisa
Nitaacha ili niingie mbinguniUnatenda zaaambi(in childish voice)
Sitaki tena mieHuwezi kuondoa gari kwa namba 3
Ungeanza na shampagne ndio level yako hiyo ili taratibu uanze kuzoea vinywaji vigumu
Gud boiJuzi nimehonja Red wine nimetapika balaa ndio hata sikuimeza niliiweka mdomoni tu..

Ukatili sio sura
.......
AsentiTOP TEN
Leo tutaangalia nyoka wakubwa zaidi kuwahi kuwepo duniani(walio hai au waliotoweka)
Kipimo ni urefu wao
NB
................................
Mita 1 = Futi 3.3
Python=Chatu
....................................
Karibuni
.........
Sitaki tena mie.Gud boi![]()
Usimfundishe tabia mbayaHuwezi kuondoa gari kwa namba 3
Ungeanza na shampagne ndio level yako hiyo ili taratibu uanze kuzoea vinywaji vigumu
No PapaaHata ya![]()