BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
GudiNitaacha ili niingie mbinguni

Asante sana mkuuTOP TEN
Leo tutaangalia nyoka wakubwa zaidi kuwahi kuwepo duniani(walio hai au waliotoweka)
Kipimo ni urefu wao
NB
................................
Mita 1 = Futi 3.3
Python=Chatu
....................................
Karibuni
.........

Sihonji-SionjiSitaki tena mie
Sihonji honji tena vitu

Bayaaaa9/The Colombian Red Tail BoaWanapatikana huko Colombia![]()
Majike huwa na urefu wa Futi 7 hadi 10 wakati madume huwa na urefu wa futi 6 hadi 8
Wana rangi ya kuvutia mkiani inayoendana mazingira ya misitu waliyopo
.......
Kumchoma kusaga kupaka unga wake(zamani)siku hizi unapaka kitunguu saumu,kinavuta sumu ,kuna mawe ya kuvuta sumu na pia kwenda hospitali unachomwa hydrocortisone.Dawa yake baada ya kuumwa nae ni nini?
HatariJuzi nimehonja Red wine nimetapika balaa ndio hata sikuimeza niliiweka mdomoni tu..
Hiyo unatumia mkuuHata ya![]()
Aiseee10/The Carpet PythonHawa ni chatu jamii ya Morella![]()
Wastani wa urefu wao ni Mita 2(6.6ft)...kwa kawaida madume huwa ni madogo kuliko majike
Baadhi ya sehemu majike yana uzito mkubwa mara 4 ya madume
........
Tunashukuru sanaAnaendelea vizuri 99%
acha uogaSitaki tena mie
Sihonji honji tena vitu
Duuh9/The Colombian Red Tail BoaWanapatikana huko Colombia![]()
Majike huwa na urefu wa Futi 7 hadi 10 wakati madume huwa na urefu wa futi 6 hadi 8
Wana rangi ya kuvutia mkiani inayoendana mazingira ya misitu waliyopo
.......
kama ww mushengaBayaaaa

rangi yake nzuri8/The Bushmaster Viper![]()
Wanapatikana huko kwenye kingo za mito Milima ya Amazon hadi Costa Rica
Huwa na urefu hadi kufikia futti 13
Huwa na rangi ya waridi na hata damu ya mzee
.....
Sijui hadi leo,na nilipomuua nilimpeleka nje nikamfunika vizuri sana cha ajabu nilipokuja niwaoneshe watu hakuwapoAlitoka wapi?

Sitaki tena nimekataaaacha uoga
lilikua pepo pole sna mama mchuchuSijui hadi leo,na nilipomuua nilimpeleka nje nikamfunika vizuri sana cha ajabu nilipokuja niwaoneshe watu hakuwapo![]()
![]()