Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,932
Amen mama mtumishiAnz kukemea kwanzq utajua ni nini,pia inategemea nq imani yako penda kumwaga maji ya baraka ndani ya nyumba nq mazingira au nunua mafuta ya mzeituni ,chumvi changanya kwenye maji, yaombee yawe damu ya Yesu,kwa imani mambo mengi yatabadilikq
Kuna mapaka yakikua kila siku yanalala dirishani kwangu na kulia vibayaaaa,nikaombea maji nikaweka chumvi nikaweka imani ,hakika baada ya wiki nilsikia harufu za ajabu,yalikufa![]()
Sio ndiye Rais maana naskia wa kwanza ndiye Rais, mwanae na mjukuu wao ni viongozi1948 - Nchi ya Korea Kaskazini yaanzishwa huku Kim il Sung akiwa kiongozi wa Nchi hiyo.
Sio ndiye Rais maana naskia wa kwanza ndiye Rais, mwanae na mjukuu wao ni viongozi1948 - Nchi ya Korea Kaskazini yaanzishwa huku Kim il Sung akiwa kiongozi wa Nchi hiyo.
Sasa wana tofauti gani na udikteta???1961 - Waziri Mkuu wa Cuba anatangaza kuwa Nchi hiyo ni ya Kijamaa na anafuta Uchaguzi kufanyika nchini humo.
Believable.....umbali huo tena glass floor Weeh.....shida sio kupita muda huo! Shida ni ndoto zitakazofuata baadaeUnbelivable![]()
Na ulikuwa recognizable kwa macho?1999 - Mwili wa George Mallory, mpanda mlima wa Kiingereza wapatikana katika Mlima Everest ikiwa ni miaka 75 toka apotee.
Na ulikuwa recognizable?1999 - Mwili wa George Mallory, mpanda mlima wa Kiingereza wapatikana katika Mlima Everest ikiwa ni miaka 75 toka apotee.
nimependa BINDUKI zaoAkaenda basalona akapotea!!!1981 - Alexander Hleb anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Barca na timu ya taifa ya Belarus.
Katili lakini ana Babyface!!!
Ndo babu yake Kim![]()
Alikuwa katili ...sasa ili kumuiga kaanza kwanza kunyoa panki
Yaani mjukuu anamuiga babu na kufuara nyayo zake
......
Katili ila ana Babyface!!!
Ndo babu yake Kim![]()
Alikuwa katili ...sasa ili kumuiga kaanza kwanza kunyoa panki
Yaani mjukuu anamuiga babu na kufuara nyayo zake
......
Kweli mkuuHiyo ikawa chachu ya yeye kumfuta babaye machozi
Pele hakuwa na kipaji chochote labda kupiga danadana tu
Hata wakati Brazil inachukua makombe mchango wa Pele haukuwepo kivile
Maradona Ndo fundi
Pia enzi hizo kipa akirudishiwa mpira anadaka
.....
Pele ni zaidi ya Maradonamkuu unaonekana wewe ni mutu ya zamani sana eeeehNaunga mkono hoja yako.
Pele amechukua World Cup mara 3 lakini hakuwahi kuwa mfungaji bora au hata mchezaji bora.
Mwaka 1958 wanachukua kombe la Dunia Pele alikuwa ndio chipukizi.
Mwaka 1962 wanachukua Kombe la Dunia staa wa michuano alikuwa Mane Garrincha. Pele alicheza mechi mbili tu.
Mwaka 1970 wanachukua tena Kombe la Dunia pale Mexico. Staa wa michuano alikuwa Jaizinho ambaye alifunga goli kila mechi.
Lakini Maradona alikuwa ndio staa wa michuano pale alipoibeba Argentina mwaka 1986 na kutwaa Kombe la Dunia.
Pele alibebwa na mastaa wengine. Wakati Maradona ilibidi aibebe timu kwenye mgongo wake.
Now, nimepata jibu
Wakauchukua?![]()
Maana maiti kibao zimeganda kutokana na barafu halafu zimeachwa tu
....
Merci PapaaLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Huko ndio usiseme ile siku manusura nikimwage kwenye Azam.
Maboti ya kule kwetu sasa kwenda burundi ndio usiseme naregea kama mtoto hadi naumwa