Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila kuna siku nilikuwa site huko wilayani Bahi mida ya usiku nilikuwa niko na mrembo wa kigogo jirani nasi kulikuwa na mti, so ili kuweza kumlaghai yule manzi nilipitisha mkono kwa mabega yake ili awe close nami suddenly nilihisi kuchomwa na kitu ila nilipotezea nikidhani ni sungusungu mdudu kumbe ni nge, nilishtuka maumivu yalipozidi na mkono kuanza kuishiwa nguvu, yule manzi nilimuacha na kurejea nilipofikia. Nilijichanja kidogo na kukamua sumu ila sikulala usiku ule na asubuhi ndio mkono hauna nguvu kabisa.

After 20hrs nikapona kabisa
Pole sana
 
Kemea utaisha,kuna wakati nulijua naogipa sana nyoka kila nikiingia ndani nawaza nyoka huwezi amini siku moja alfajiri nilijikuta nimebeba nyoka mgongoni nakung'uta akaanguka haa nikaitaa jina la Yesu nilipambana hadi kumuua,na nikaanza rasmi kukemea mfululizo limeisha hili jambo namshukuru Mungu
Alitoka wapi?
 
Aisee. Nitafanya hivyo. Hali hii imenifanya niwe msafi sana ili mende wasiweke makazi. Watu wananisifia kwa usafi uliopindukia kimo kumbe hawajui sababu yake. Uzuri hali hii haijitokezi mara kwa mara. Naweza kumaliza miezi sita hata mwaka halafu siku moja nikiona mende tu nightmare zinakuja.

Asante sana mtumishi. Halafu eti wanasema huku Makapuku hakuna lolote la maana!

Kila mtu ana mtazamo wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom