Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Safi tu kiongozi..mambo vipiTetramelyz niaje
Safi tu kiongozi..mambo vipiTetramelyz niaje
GMO (Genetically Engineered Organisms) hizi. Bado hatujajua madhara yake sawa sawa japo wengi wanahofia miripuko mipya ya kansa na magonjwa mapya huko mbele ya safari. Monsanto - kampuni kubwa la Kimarekani linalojihusisha na umiliki (through patents ownership) na uuzaji wa mbegu tayari wameshafanikiwa kutengeneza mbegu za machungwa zilizochanganywa na DNA ya samaki. Kwa hivyo usishangae siku moja ukila chungwa halafu ukasikia harufu ya samaki![]()
Upuuzi wa Wanasayansi
.......


. Ni hatari!Walipunguza,elfu tano kwenda,elfu tano kurudi mwanzo ilikua elf sabaIna maana zile daladala za eicher zinalipa Sh 7000 per trip au zina discount?
AsanteMuda wake bado
Ngoja nikuwekee muda huu
Hata kiushindani.... England sasa timu sita zote zinaweza kuwa bing bingwa... Chelsea totenham Liverpool Man city Man United Arsenal........ Mbali ya washtukiziaji kama Leicester.Yah ni kubwa kipesa na kwa promotion lakini kiubora epl bado sana.
Same to youHi sir how are you have a wonderful and Blessed Sunday![]()
I see,nimewahi kula asali ina harufu na ladha ya machungwa wana sema nyuki wake wamkuwa restricted kwenye michungwa tu sikuelewaGMO (Genetically Engineered Organisms) hizi. Bado hatujajua madhara yake sawa sawa japo wengi wanahofia miripuko mipya ya kansa na magonjwa mapya huko mbele ya safari. Monsanto - kampuni kubwa la Kimarekani linalojihusisha na umiliki (through patents ownership) na uuzaji wa mbegu tayari wameshafanikiwa kutengeneza mbegu za machungwa zilizochanganywa na DNA ya samaki. Kwa hivyo usishangae siku moja ukila chungwa halafu ukasikia harufu ya samaki. Ni hatari!
Na vipi kuhusu kuku wa mayai wanaokula na kutaga bila ya Jogoo?GMO (Genetically Engineered Organisms) hizi. Bado hatujajua madhara yake sawa sawa japo wengi wanahofia miripuko mipya ya kansa na magonjwa mapya huko mbele ya safari. Monsanto - kampuni kubwa la Kimarekani linalojihusisha na umiliki (through patents ownership) na uuzaji wa mbegu tayari wameshafanikiwa kutengeneza mbegu za machungwa zilizochanganywa na DNA ya samaki. Kwa hivyo usishangae siku moja ukila chungwa halafu ukasikia harufu ya samaki. Ni hatari!
OkayWalipunguza,elfu tano kwenda,elfu tano kurudi mwanzo ilikua elf saba
GMO (Genetically Engineered Organisms) hizi. Bado hatujajua madhara yake sawa sawa japo wengi wanahofia miripuko mipya ya kansa na magonjwa mapya huko mbele ya safari. Monsanto - kampuni kubwa la Kimarekani linalojihusisha na umiliki (through patents ownership) na uuzaji wa mbegu tayari wameshafanikiwa kutengeneza mbegu za machungwa zilizochanganywa na DNA ya samaki. Kwa hivyo usishangae siku moja ukila chungwa halafu ukasikia harufu ya samaki. Ni hatari!
Ng'ombenguruweMmmh huyu nyati ,ng'ombe
Hello karibuHello
Zina discount ya sh 5000 kwa tripIna maana zile daladala za eicher zinalipa Sh 7000 per trip au zina discount?
KweliNg'ombenguruwe
.......