Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Punguza mpaka siku mbiliMi ugenini huwa silali usingizi kabisa inanichukua muda sana kuzoea labda nikae zaidi ya week
Punguza mpaka siku mbiliMi ugenini huwa silali usingizi kabisa inanichukua muda sana kuzoea labda nikae zaidi ya week
Kazi ya Mungu ni kubwaI see,so sad halafu hakufa na mama akamezea,sijui maamuzi yalikuaje baada ya hapo poor woman,killer
NdioKatakuwa kamguu ka mtoto
Wakati mngine tunaita machozi ya furaha..
HakikaMungu anatuwazia mema daima![]()
Mtumishi. Majaribio ya aina hii ni unethical kwa sababu implications zake ni hatari mno. Cross-breeding, DNA crossing/splicing na uhamishaji huu wa seli za ubongo hautakiwi kuachiwa tu ufanyike kiholela. Kuna siku atatokea rogue scientist huko North Korea achanganye DNA ya simba na binadamu kwenye lab ili kuzalisha wanajeshi wasioogopa halafu atuletee matatizo. Kama binadamu hatupaswi kuingilia uumbaji wa Mungu na kuanza kuhamisha DNA hovyo hovyo lakini huko ndiko tunakoelekea kwa sababu tiba za magonjwa mengi inaonekana zimejificha katika DNA na kwa kadri siku zinavyokwenda wanasayansi wanadai itafikia mahali wataweza kuzalisha binadamu asiyeugua wala kuzeeka.Yes nadhani panya wana uwezo mkubwa,nimewahi ona panya wanatumika kunusa specimen ii kupima TB ,na ikipimwa kwa madawa inakuwa positive kama panya aivyokuta,asilimia kubwa,na pia panya walifunzwa kutegua mabomu ya ardhini nimewahi ona wakiwa mafunzoni,very interesting,nadhani wakipewa brain cells za binadamu watafanya mengi zaidi,.




Nahisi kama ni 30,000Mkuu naomba kujua bei ya kuvusha roli hapo daraja la kigamboni
Asante mkuuNahisi kama ni 30,000
Hatari sana, wataalamu wa DNA wanasema sisi binadamu tunatumia 4%tu ya DNA zetu, je 96% ziko wapi na zinatumikaje?Mtumishi. Majaribio ya aina hii ni unethical kwa sababu implications zake ni hatari mno. Cross-breeding, DNA crossing/splicing na uhamishaji huu wa seli za ubongo hautakiwi kuachiwa tu ufanyike kiholela. Kuna siku atatokea rogue scientist huko North Korea achanganye DNA ya simba na binadamu kwenye lab ili kuzalisha wanajeshi wasioogopa halafu atuletee matatizo. Kama binadamu hatupaswi kuingilia uumbaji wa Mungu na kuanza kuhamisha DNA hovyo hovyo lakini huko ndiko tunakoelekea kwa sababu tiba za magonjwa mengi inaonekana zimejificha katika DNA na kwa kadri siku zinavyokwenda wanasayansi wanadai itafikia mahali wataweza kuzalisha binadamu asiyeugua wala kuzeeka.
Kama leo tunaweka brain cells za binadamu kwenye ubongo wa panya, vipi tukiweka kwenye ubongo wa simba au tiger? Tunacheza na moto!![]()
Hahahaha hata siendi kwa watu labda kuwe na matatizoPunguza mpaka siku mbili
Kweli ,kuna clip nimeiona simba anamshambulia binadamu nimeogopa sana kweli wakizalishwa askari simba kumi tu korea hatariiMtumishi. Majaribio ya aina hii ni unethical kwa sababu implications zake ni hatari mno. Cross-breeding, DNA crossing/splicing na uhamishaji huu wa seli za ubongo hautakiwi kuachiwa tu ufanyike kiholela. Kuna siku atatokea rogue scientist huko North Korea achanganye DNA ya simba na binadamu kwenye lab ili kuzalisha wanajeshi wasioogopa halafu atuletee matatizo. Kama binadamu hatupaswi kuingilia uumbaji wa Mungu na kuanza kuhamisha DNA hovyo hovyo lakini huko ndiko tunakoelekea kwa sababu tiba za magonjwa mengi inaonekana zimejificha katika DNA na kwa kadri siku zinavyokwenda wanasayansi wanadai itafikia mahali wataweza kuzalisha binadamu asiyeugua wala kuzeeka.
Kama leo tunaweka brain cells za binadamu kwenye ubongo wa panya, vipi tukiweka kwenye ubongo wa simba au tiger? Tunacheza na moto!![]()
Inawezekana,naomba uniambie tani ngapi kesho nikuulizie kwa uhakikaNahisi kama ni 30,000
Nimeipenda simu yako blessed
Ngoja nitamuomba Obe aniwekee huo wimbo leo natamani kuusikia![]()
![]()
![]()
Kama K Lynn akiwa na Bushoke

Wakati wa kwenda itakuwa kuwa tupu hapo huwa inasoma tani 17Inawezekana,naomba uniambie tani ngapi kesho nikuulizie kwa uhakika
Hahahahaha mweh mmh ya kawaida tu ila inanifanya niwe nanyiN
Nimeipenda simu yako blessed
Unaendeleaje lakini?pole UbarikiweMtumishi. Majaribio ya aina hii ni unethical kwa sababu implications zake ni hatari mno. Cross-breeding, DNA crossing/splicing na uhamishaji huu wa seli za ubongo hautakiwi kuachiwa tu ufanyike kiholela. Kuna siku atatokea rogue scientist huko North Korea achanganye DNA ya simba na binadamu kwenye lab ili kuzalisha wanajeshi wasioogopa halafu atuletee matatizo. Kama binadamu hatupaswi kuingilia uumbaji wa Mungu na kuanza kuhamisha DNA hovyo hovyo lakini huko ndiko tunakoelekea kwa sababu tiba za magonjwa mengi inaonekana zimejificha katika DNA na kwa kadri siku zinavyokwenda wanasayansi wanadai itafikia mahali wataweza kuzalisha binadamu asiyeugua wala kuzeeka.
Kama leo tunaweka brain cells za binadamu kwenye ubongo wa panya, vipi tukiweka kwenye ubongo wa simba au tiger? Tunacheza na moto!![]()

Gari ndogo ndogo ni sh 1500Inawezekana,naomba uniambie tani ngapi kesho nikuulizie kwa uhakika
Hii simu yako ni ngumu sana maana naona nyingine zimekuja zimepotea ila Hiyo ipoHahahahaha mweh mmh ya kawaida tu ila inanifanya niwe nanyi
Tetramelyz niajeN
Nimeipenda simu yako blessed