Makapuku Forum

Makapuku Forum

1992 - Marc Andre ter Stegen anazaliwa.

Kipa wa Barcelona na timu ya taifa ya Ujerumani.
5fdc7a7d8dcb70c4dbfe102a27202d9b.jpg
c8504de34d01b11d282861454d18b667.jpg
 
Lishakuwa kuwa lao hawa majamaa
msimu ujao wasahau na wasipoangalia wataishia watatu kwenye msimamo.
Labda RB Leipzig ataleta changamoto msimu ujao
Hata Dortmund pia,

msimu ujao utakua hatari tupu
RB Leipzig
dortmund
Hoffeinhem
bayern

sinajua wolves wanajipangaje ila bayern na kikosi chake cha wazee hiki lazima wawe makini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom