Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makapuku wengi wapo private sector
Mmmh mimi na familia yangu mtuombeee tu,kuna ndugu zangu wamenipigia simu yamewakuta,bado wadogo wala hatukujua..nimewashauri waje kwanza maana wako katika wakati mgumu wana shock na kukata tamaa,nawaombea amani wote waliopata shida hii na Mungu awatie nguvu maana ni ngumu kupokea ila ndio limeshatokea .
 
Madenge umezidisha sasa. Teknolojia hii ina faida nyingi lakini, kama ilivyo kawaida ya teknolojia nyingi nyingine, inawezekana ikawa na madhara makubwa zaidi. Japo imeweza kutupatia mazao yanayokomaa kwa muda mfupi, yanayostahimili ukame, yasiyoshambuliwa na magonjwa hovyo hovyo, yenye virutubisho vingi zaidi na yasiyohitaji uangalizi wa karibu (mfano kupaliliwa mara kwa mara), madhara yake bado hayajaeleweka sawa sawa; na inatakiwa isimamiwe ili isitumiwe vibaya.
Tanga kuna minazi inazaa baada ya miaka mitatu
 
Napendelea vitu vya kienyeji
Huwezi kunilisha nafikiri yenye rangi km kombati za jeshi
Pia napenda mafuta ya mawese cha ajabu nikienda kijijini wananipikia mafuta ya kisasa
.......
Vitu vya kienyeji ni vizuri sana mimi nakula dona ,huwa napata changamoto ndugu zangu wakija toka kijijini, hakika hawafurahii dona inabidi niwaandalie unga wao
 
Mmmh mimi na familia yangu mtuombeee tu,kuna ndugu zangu wamenipigia simu yamewakuta,bado wadogo wala hatukujua..nimewashauri waje kwanza maana wako katika wakati mgumu wana shock na kukata tamaa,nawaombea amani wote waliopata shida hii na Mungu awatie nguvu maana ni ngumu kupokea ila ndio limeshatokea .
Hili ni janga kubwa, shemeji zangu wawili limewakumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom