Makapuku Forum

Makapuku Forum

fe201d9fe3b5d46342896bc2a7c19d42.jpg
12fd601275427c461b1ffc8ea864b93b.jpg
f55c31d9e37f70b1a0f78fd429e3992c.jpg

Msimu uliopita aliwapiga Liverpool pale Anfield goli la kiddo

Tukutane jioni kwenye kumi kubwa
Shukrani Mkuu
.....
Happy born day Juan Mata
 
NUKUU YA LEO

Democracy is beautiful in theory: in practice it is fallacy

Demokrasia ni nzuri katika nadharia, katika vitendo ni Uongo

362b0125f1ba9a740a97042fb0b0eb40.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwandishi, mwanasiasa na waziri Mkuu wa 27 wa Italia Bw. Benito Andre mussolini aliezaliwa 29/07/1883 na kufariki 28/04/1945 kwa kupigwa risaasi kijijini Giulino de mezzegra akiwa na mkewe Clara Petacci.

Musollini alikuwa ni kiongozi wa Partio Nazionale Fascista; PNF , chama ambacho kiliweka demokrasia pembeni na kutekeleza sera za kidikteta zilizojulikana kama II Duce.

Mussolini amepigana vita kama vita vya 1 na vya 2 vya Dunia, Vita ya Italia-Ethiopia na Uvamizi wa Itali nchini Albania.

Kiufupi mussolini hakupenda demokrasia hata kidogo na hivyo hakupenda kuwa muongo

Alisema kile alichokiamini yeye..

Lakini katika uhalisia wa ukweli hakuna demokrasia ya kweli..hata wale wanaodai kuwa na demokrasia nchini mwao ni waongo manake kuna vitu vinafanyika havihitaji demokrasia..

Penda usipende kuna vitu vitafanywa na kikundi cha watu wachache bila maamuzi yako.

064949a6396b35b885086d1ebde90cd5.jpg
1ebd5b6274d5a011bf7dedbdd8d26e53.jpg

d4d6c664d073e6d4ccc31791926418a8.jpg

Kuna mengi kuhusu mussolini lakini nitaweka nyama baadaye..

Morning wakuu.
Asante mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom