Makapuku Forum

Makapuku Forum

eedb148ec0e994520f4f446b077f89a2.jpg
7c6a8f881bf2f5318c5f84cbd8385254.jpg

Sababu?
.....
Alitoa mapendekezo katiba ibadilishwe Wananchi wakagoma akaamua ajiuzulu.
 
Happy birthday Matta
1981 - Jessica Alba anazaliwa.

Mwanamitindo wa Kimarekani.
Happy birthday Jessica
1988 - Juan Mata anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Real Madrid, Valencia, Chelsea na Man Utd.

Pia huchezea timu ya taifa ya Hispania ambapo tayari ameshinda Kombe la Dunia na Kombe la mataifa ya Ulaya.

1988 - Juan Mata anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Real Madrid, Valencia, Chelsea na Man Utd.

Pia huchezea timu ya taifa ya Hispania ambapo tayari ameshinda Kombe la Dunia na Kombe la mataifa ya Ulaya.
 
Tongotongo la Asubuhi
c150ac590e0b0179e747b9a848a4d814.jpg

Mwaka 2010 katika hospitali moja huko London Uingerrza wsnandoa Wa Kinigeria walibahatoka kupata mtoto "mweupe" mwenye macho ya blue na ngozi nyeupe km wazungu
Wanandoa hao wote ni Waafrika weusi
Ingekuwa Bongo lingeibuka timbwili mpaka basi
Asubuhi njema
.............
hahaha bongo kusingetosha
 
Ndiye mwasisi wa suti za kaunda

Na kuna mtaa maarufu wa kaunda, upo osterbay
Ni suti ambazo hazivaliwi na tai mara nyingi hazina kola
Nyerere alizipenda sana
4d37c9bcfc31db3147889ae9b999ca57.jpg

Pia uwanja wa Yanga pale Jangwani ni jina lake
Alikuwa mpenda michezo ndio maana kikosi cha Zambia kilichopata ajali mbaya ya ndege kilokuwa kikitwa KK Eleven
....
 
UNAWEZA KUAMUA KUENDELEA MBELE

Vipo vitu vingi katika maisha tukivikumbuka kwa kweli vinatosha kutuweka chini .Mengi yanatokea katika maisha,kupoteza na kupata,kuachwa ,kufiwa na wapendwa wazazi,ndugu,jamaa,marafiki,mume au mke,kutukanwa,kutukuzwa,kusalitiwa,kuumizwa ,kufukuzwa,kupata magonjwa yasiyo na dawa,kuuguliwa na wapendwa wetu,kukata tamaa,kukosa watoto,lolote laweza kutokea.

SASA,shida sio hayo kutokea,shida yanapotokea tunafanya nini?

Kutokea yanaweza kutokea at some point as long as tunaishi.

Sasa kile mtu anafanya baada ya kukutana na hayo yote ndio inaleta utofauti kati ya mtu na mtu.

Ni MWIKO na KASHFA ndani ya UFALME WA MUNGU kwa mtu anayeitwa MWANA WA MUNGU kushindwa kuendelea mbele sababu ya mazito yaliyowahi kutokea in the past.

Mwingine umepoteza mtu muhimu,wale uliokua unawategemea wameghairi kukupa msaada stahili waliokuahidi,umepata ugonjwa ambao madaktari wamesema hauna tiba,umetukanwa na uliowasaidia.

SIKIA tunapokuwa tumempokea YESU,biblia inasema tunakua tumepokea HAKI ya kufanyika WANA WA MUNGU YOHANA 1:12

1YOH.5:6. INASEMA KILA KILICHOZALIWA NA MUNGU HUUSHINDA ULIMWENGU,HUO ULIMWENGU NDIO HAYA YOTE TUNAYOKUTANA NAYO HUKU DUNIANI

SIKIA,tayari una nguvu ya kushinda ndani yako.

STEP ON THEM ,MOVE FORWARD

MENGINE SI MAKOSA YAKO KUWA YAMETOKEA WALA HUKUFANYA MAOMBI YAKUKUTE HAMNA HAJA YA KUJUTA MPAKA UNASHINDWA KUFANYA MAMBO YA MSINGI.

AMUA LEO KUACHA YALIYOPITA YAWE YAMEPITA,ENDELEA MBELE .MBELE KUNA MEMA ZAIDI.

MUNGU ATUSAIDIE SANA MBARIKIWE

BABA,ni siku mpya tunaomba uwe nasi,tuepushe na hatari za mwili na roho,nyoosha mapito yetu,tukutafute kwa bidii tusimamie tusiangamie,bariki kazi za mikono yetu,mapenzi yako yatimizwe Amen

asante mama mchuchu kwa neno barikiwa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom