Makapuku Forum

Makapuku Forum

1937 - Saddam Hussein anazaliwa.

Dikteta wa zamani wa Iraq na Rais wa 5 wa nchi hiyo.
e7097c36e82740e4fa958b9c27e22789.jpg
3253f6305a911f7951644c31439f3538.jpg

Neno
"Dikteta" wamelipachika Wamarekani tu....namfahamu zaidi Bikteta Ceorge W Bush
........
 
NUKUU YA LEO

Democracy is beautiful in theory: in practice it is fallacy

Demokrasia ni nzuri katika nadharia, katika vitendo ni Uongo

362b0125f1ba9a740a97042fb0b0eb40.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwandishi, mwanasiasa na waziri Mkuu wa 27 wa Italia Bw. Benito Andre mussolini aliezaliwa 29/07/1883 na kufariki 28/04/1945 kwa kupigwa risaasi kijijini Giulino de mezzegra akiwa na mkewe Clara Petacci.

Musollini alikuwa ni kiongozi wa Partio Nazionale Fascista; PNF , chama ambacho kiliweka demokrasia pembeni na kutekeleza sera za kidikteta zilizojulikana kama II Duce.

Mussolini amepigana vita kama vita vya 1 na vya 2 vya Dunia, Vita ya Italia-Ethiopia na Uvamizi wa Itali nchini Albania.

Kiufupi mussolini hakupenda demokrasia hata kidogo na hivyo hakupenda kuwa muongo

Alisema kile alichokiamini yeye..

Lakini katika uhalisia wa ukweli hakuna demokrasia ya kweli..hata wale wanaodai kuwa na demokrasia nchini mwao ni waongo manake kuna vitu vinafanyika havihitaji demokrasia..

Penda usipende kuna vitu vitafanywa na kikundi cha watu wachache bila maamuzi yako.

064949a6396b35b885086d1ebde90cd5.jpg
1ebd5b6274d5a011bf7dedbdd8d26e53.jpg

d4d6c664d073e6d4ccc31791926418a8.jpg

Kuna mengi kuhusu mussolini lakini nitaweka nyama baadaye..

Morning wakuu.
 
NUKUU YA LEO

Democracy is beautiful in theory: in practice it is fallacy

Demokrasia ni nzuri katika nadharia, katika vitendo ni Uongo

362b0125f1ba9a740a97042fb0b0eb40.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwandishi, mwanasiasa na waziri Mkuu wa 27 wa Italia Bw. Benito Andre mussolini aliezaliwa 29/07/1883 na kufariki 28/04/1945 kwa kupigwa risaasi kijijini Giulino de mezzegra akiwa na mkewe Clara Petacci.

Musollini alikuwa ni kiongozi wa Partio Nazionale Fascista; PNF , chama ambacho kiliweka demokrasia pembeni na kutekeleza sera za kidikteta zilizojulikana kama II Duce.

Mussolini amepigana vita kama vita vya 1 na vya 2 vya Dunia, Vita ya Italia-Ethiopia na Uvamizi wa Itali nchini Albania.

Kiufupi mussolini hakupenda demokrasia hata kidogo na hivyo hakupenda kuwa muongo

Alisema kile alichokiamini yeye..

Lakini katika uhalisia wa ukweli hakuna demokrasia ya kweli..hata wale wanaodai kuwa na demokrasia nchini mwao ni waongo manake kuna vitu vinafanyika havihitaji demokrasia..

Penda usipende kuna vitu vitafanywa na kikundi cha watu wachache bila maamuzi yako.

064949a6396b35b885086d1ebde90cd5.jpg
1ebd5b6274d5a011bf7dedbdd8d26e53.jpg

d4d6c664d073e6d4ccc31791926418a8.jpg

Kuna mengi kuhusu mussolini lakini nitaweka nyama baadaye..

Morning wakuu.
mornie T
asante kwa nukuu ya leo
 
1970 - Diego Simione anazaliwa.

Mchezaji wa zamani na kocha wa sasa wa Atletico Madrid na timunya taifa ya Argentina.

Moja ya wachezaji watukutu enzi anacheza soka na sasa akiwa mmoja kati ya makocha vijana wahamasishaji.
265552c8f942f7d0b1c9c3450195a923.jpg
4f22750d59e2ccb655865b4fb6e1eefc.jpg
550f672750bcb1868f51be901c00aa69.jpg

Ndio aliyemtia hasira Beckham World Cup 1998 hadi kufanya jambo la kijinga na julambwa umeme na Uingereza kutupwa nje japo Michael Owen alifunga goli zuri
Kaiongoza Atletico final mbili URFA na kupigwa zote
Msimu huu ana dalili pia ya kwenda fainali kusindikiza tu
......
 
NUKUU YA LEO

Democracy is beautiful in theory: in practice it is fallacy

Demokrasia ni nzuri katika nadharia, katika vitendo ni Uongo

362b0125f1ba9a740a97042fb0b0eb40.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwandishi, mwanasiasa na waziri Mkuu wa 27 wa Italia Bw. Benito Andre mussolini aliezaliwa 29/07/1883 na kufariki 28/04/1945 kwa kupigwa risaasi kijijini Giulino de mezzegra akiwa na mkewe Clara Petacci.

Musollini alikuwa ni kiongozi wa Partio Nazionale Fascista; PNF , chama ambacho kiliweka demokrasia pembeni na kutekeleza sera za kidikteta zilizojulikana kama II Duce.

Mussolini amepigana vita kama vita vya 1 na vya 2 vya Dunia, Vita ya Italia-Ethiopia na Uvamizi wa Itali nchini Albania.

Kiufupi mussolini hakupenda demokrasia hata kidogo na hivyo hakupenda kuwa muongo

Alisema kile alichokiamini yeye..

Lakini katika uhalisia wa ukweli hakuna demokrasia ya kweli..hata wale wanaodai kuwa na demokrasia nchini mwao ni waongo manake kuna vitu vinafanyika havihitaji demokrasia..

Penda usipende kuna vitu vitafanywa na kikundi cha watu wachache bila maamuzi yako.

064949a6396b35b885086d1ebde90cd5.jpg
1ebd5b6274d5a011bf7dedbdd8d26e53.jpg

d4d6c664d073e6d4ccc31791926418a8.jpg

Kuna mengi kuhusu mussolini lakini nitaweka nyama baadaye..

Morning wakuu.
Morning, Asante kwa kujazia nyama
 
265552c8f942f7d0b1c9c3450195a923.jpg
4f22750d59e2ccb655865b4fb6e1eefc.jpg
550f672750bcb1868f51be901c00aa69.jpg

Ndio aliyemtia hasira Beckham World Cup 1998 hadi kufanya jambo la kijinga na julambwa umeme na Uingereza kutupwa nje japo Michael Owen alifunga goli zuri
Kaiongoza Atletico final mbili URFA na kupigwa zote
Msimu huu ana dalili pia ya kwenda fainali kusindikiza tu
......
Safari hii naona timu haichezi vizuri
 
265552c8f942f7d0b1c9c3450195a923.jpg
4f22750d59e2ccb655865b4fb6e1eefc.jpg
550f672750bcb1868f51be901c00aa69.jpg

Ndio aliyemtia hasira Beckham World Cup 1998 hadi kufanya jambo la kijinga na julambwa umeme na Uingereza kutupwa nje japo Michael Owen alifunga goli zuri
Kaiongoza Atletico final mbili URFA na kupigwa zote
Msimu huu ana dalili pia ya kwenda fainali kusindikiza tu
......
Beckham alifanya ujinga sana, ila amshukuru Ericsson kwa kumrudisha kwenye mstari
 
NUKUU YA LEO

Democracy is beautiful in theory: in practice it is fallacy

Demokrasia ni nzuri katika nadharia, katika vitendo ni Uongo

362b0125f1ba9a740a97042fb0b0eb40.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwandishi, mwanasiasa na waziri Mkuu wa 27 wa Italia Bw. Benito Andre mussolini aliezaliwa 29/07/1883 na kufariki 28/04/1945 kwa kupigwa risaasi kijijini Giulino de mezzegra akiwa na mkewe Clara Petacci.

Musollini alikuwa ni kiongozi wa Partio Nazionale Fascista; PNF , chama ambacho kiliweka demokrasia pembeni na kutekeleza sera za kidikteta zilizojulikana kama II Duce.

Mussolini amepigana vita kama vita vya 1 na vya 2 vya Dunia, Vita ya Italia-Ethiopia na Uvamizi wa Itali nchini Albania.

Kiufupi mussolini hakupenda demokrasia hata kidogo na hivyo hakupenda kuwa muongo

Alisema kile alichokiamini yeye..

Lakini katika uhalisia wa ukweli hakuna demokrasia ya kweli..hata wale wanaodai kuwa na demokrasia nchini mwao ni waongo manake kuna vitu vinafanyika havihitaji demokrasia..

Penda usipende kuna vitu vitafanywa na kikundi cha watu wachache bila maamuzi yako.

064949a6396b35b885086d1ebde90cd5.jpg
1ebd5b6274d5a011bf7dedbdd8d26e53.jpg

d4d6c664d073e6d4ccc31791926418a8.jpg

Kuna mengi kuhusu mussolini lakini nitaweka nyama baadaye..

Morning wakuu.
Asante kwa nukuu mkuu T ubarikiwe,siku njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom