BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Karibu mkuu ubarikiweAmen,Asante kwa neno zuri mama mtumishi
Karibu mkuu ubarikiweAmen,Asante kwa neno zuri mama mtumishi
Tuko poa za uzimaOyoooo niaje mandugu hope mko poa..
RIP Bennito Mussolini na Clara Petacci.1945 - Benito Mussolini na mkewe Clara Petacci wanauwawa na kuning'inizwa huko Italy.
HBD Empire Stadium( Wembley)1923 - Uwanja wa Wembley unafunguliwa rasmi na kuitwa jina la Empire Stadium.
Ndio uwanja wa Taifa wa Uingereza.
Hahahaaaaaaa shemelana kweli na ww unapenda nn shemela ugonjwa wako

Hahaha....kumbe umebadili id????ulitaka kujua nipo mnyapie shunie
tetra umepoteaHahaha....kumbe umebadili id????
Mambo vipi kiongoziHahahaaaaaaa shemela![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hahahah shemela nimekukimbiza tena njo bana ninong'oneze tu au unapenda churaaaaHahahaaaaaaa shemela![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yanatokea sana,hata kama ni wake,wanaume wengi hukataa watoto kabisa,ila Mungu huwalupia hapahapa duniani,damuyako ni damu yako .Kibaiolojia imeonyesha ni mtoto wao orijino kabisa na hawajabambikiwa
Ingekuwa Bongo ngumi zingerushwa "kanioneshe huyo hawara wako"
.....
hahhaha poa tu umefichwa kwa kheri lkn kupewa mautamu tu hongera zako sanaNilikua nimefichwa..
Mambo vipi lkn
Asante Mkuu Shululu kwa magazeti,asante Nyagei kwa udhamini mbarikiweView attachment 502007Mpaka hapo Sina la ziada kwenye magazeti ya leo kwa udhamini mnono wa Nyagei

Mambo poa, vp weweMambo vipi kiongozi
Na wewe kwa kufichwa tu hujamboNilikua nimefichwa..
Mambo vipi lkn
Asante Mkuu Shululu kwa magazeti,asante Nyagei kwa udhamini mbarikiwe![]()
