Makapuku Forum

Makapuku Forum

1945 - Benito Mussolini na mkewe Clara Petacci wanauwawa na kuning'inizwa huko Italy.
58bd124fba3122521a6d1e34bb8347e2.jpg
c0bca260184a262c041d9318572a8841.jpg
39fc80492a884868dd3af48196287456.jpg

Aliyeua kwa upanga huuwawa kwa upanga
Wana bahati hawakuvuliwa nguo km Samuel Doe
.....
 
1936 - Tariq Aziz anazaliwa.

Waziri wa zamani wa Habari katika utawala wa Saddam Hussein.

Alikuwa anatoa habari za uongo kuhusu vita dhidi ya uvamizi wa Marekani kwamba bado Wamarekani hawajavamia ardhi yao.
Alikuwa mtu maarufu sana kwenye vita hiyo, press yake ya mwisho na waandishi aliwaambia marekani hawezi kuingia Baghdad, wakati huo yeye akiwa karibu na majeshi ya marekani umbali kama mita 100
 
Je Wajua:-

Baadhi ya wanyama jamii ya Mamba humeza mawe na kukaa nayo tumboni kwa muda mrefu. Mawe haya huitwa "gasrolith"
Mawe haya humsaidia mamba mambo yafuatayo;

1: Humsaidia aweze kuwa na uzito utakaowafanya wazame kina kirefu zaidi kwenye maji.

2: Humsaidia kusaga chakula tumboni.

3: Hufanya tumbo liwe na uzito na kujisikia
ameshiba
877142821.jpeg
 
Tongotongo la Asubuhi
c150ac590e0b0179e747b9a848a4d814.jpg

Mwaka 2010 katika hospitali moja huko London Uingerrza wsnandoa Wa Kinigeria walibahatoka kupata mtoto "mweupe" mwenye macho ya blue na ngozi nyeupe km wazungu
Wanandoa hao wote ni Waafrika weusi
Ingekuwa Bongo lingeibuka timbwili mpaka basi
Asubuhi njema
.............
Ungekuwa ni ubushoke
 
1967 - Bondia Muhammad Ali anagoma kwenda kwenye Vita ya Vietnam na matokeo yake akanyang'anywa Mkanda wake wa Ubingwa wa Dunia.
f5f3ee0f0155ffa21eb473c0b540e9db.jpg
cec7453a5af21ed28984132d6c1c9f99.jpg
Ilikuwa ni baada ya USA kigaragazwa na Wavoetnam ambao ni maarufu kwa kuvaa makofia ya mikeka hivyo wakaamua kuanza kuokoteza raia mitaani ndio Alli akagoma akaiambia serikali hawezi kwenda kupigana na Taifa ambao hajawahi kuona likimnyanyasa au kumfanya mtumwa wala kumuonea raia yoyote wa Marekani....
seroikali ikakasirika kwa kuambiwa ukweli unaouma halafu akashinda kesi Mahakamani na kurudishiwa mataji yake
6c001233cd10b8c37b68ba812cf9b801.jpg

Huyo ndo Muhammad Alli asiyependa "Ndio mzee" na wala kupelekeshwa kiboyaboya

Sasa kwa wale mnaofikiri vita dhidi ya Korea Kaskazini itakuwa rahisi mnajidanganya
.....
 
UNAWEZA KUAMUA KUENDELEA MBELE

Vipo vitu vingi katika maisha tukivikumbuka kwa kweli vinatosha kutuweka chini .Mengi yanatokea katika maisha,kupoteza na kupata,kuachwa ,kufiwa na wapendwa wazazi,ndugu,jamaa,marafiki,mume au mke,kutukanwa,kutukuzwa,kusalitiwa,kuumizwa ,kufukuzwa,kupata magonjwa yasiyo na dawa,kuuguliwa na wapendwa wetu,kukata tamaa,kukosa watoto,lolote laweza kutokea.

SASA,shida sio hayo kutokea,shida yanapotokea tunafanya nini?

Kutokea yanaweza kutokea at some point as long as tunaishi.

Sasa kile mtu anafanya baada ya kukutana na hayo yote ndio inaleta utofauti kati ya mtu na mtu.

Ni MWIKO na KASHFA ndani ya UFALME WA MUNGU kwa mtu anayeitwa MWANA WA MUNGU kushindwa kuendelea mbele sababu ya mazito yaliyowahi kutokea in the past.

Mwingine umepoteza mtu muhimu,wale uliokua unawategemea wameghairi kukupa msaada stahili waliokuahidi,umepata ugonjwa ambao madaktari wamesema hauna tiba,umetukanwa na uliowasaidia.

SIKIA tunapokuwa tumempokea YESU,biblia inasema tunakua tumepokea HAKI ya kufanyika WANA WA MUNGU YOHANA 1:12

1YOH.5:6. INASEMA KILA KILICHOZALIWA NA MUNGU HUUSHINDA ULIMWENGU,HUO ULIMWENGU NDIO HAYA YOTE TUNAYOKUTANA NAYO HUKU DUNIANI

SIKIA,tayari una nguvu ya kushinda ndani yako.

STEP ON THEM ,MOVE FORWARD

MENGINE SI MAKOSA YAKO KUWA YAMETOKEA WALA HUKUFANYA MAOMBI YAKUKUTE HAMNA HAJA YA KUJUTA MPAKA UNASHINDWA KUFANYA MAMBO YA MSINGI.

AMUA LEO KUACHA YALIYOPITA YAWE YAMEPITA,ENDELEA MBELE .MBELE KUNA MEMA ZAIDI.

MUNGU ATUSAIDIE SANA MBARIKIWE

BABA,ni siku mpya tunaomba uwe nasi,tuepushe na hatari za mwili na roho,nyoosha mapito yetu,tukutafute kwa bidii tusimamie tusiangamie,bariki kazi za mikono yetu,mapenzi yako yatimizwe Amen



Ahsante kwa neno la asubuhi mama mchungaji Ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom