Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mambo matano (5)kuhusu upumuaji wa binadamu

1.Mtu mzima anapumua mara 23,000 kwa siku.

2. Kazi kubwa ya kupumua sio kupata oxygen, bali kuondoa kabon dayoksaidi.

3. Kupumua kwa kutumia mdomo ni hatari kwa afya yako.

4. Unavyopumua kwa kasi ndivyo inavyozidisha njaa na acid kwenye mwili wako.

5. Unatakiwa kufanya mazoezi kwa kiwango ambacho utaweza
 
1969 - Charles De Gaulle anajiuzulu Urais wa Ufaransa.
eedb148ec0e994520f4f446b077f89a2.jpg
7c6a8f881bf2f5318c5f84cbd8385254.jpg

Sababu?
.....
 
f5f3ee0f0155ffa21eb473c0b540e9db.jpg
cec7453a5af21ed28984132d6c1c9f99.jpg
Ilikuwa na baada ya USA kigaragazwa na Wavoetnam ambao ni maarufu kwa kuvaa makofia ya mikeka hivyo wakaamua kuanza kuokoteza raia mitaani ndio Alli akagoma akaiambia serikali hawezi kwenda kupigana na Taifa ambao hajawahi kuona likimnyanyasa au kumfanya mtumwa wala kumuonea raia yoyote wa Marekani....seroikali ikakasirika kwa kuambiwa ukweli unaouma halafu akashinda kesi Mahakamani na kurudishiwa mataji yake
6c001233cd10b8c37b68ba812cf9b801.jpg

Huyo ndo Muhammad Alli asiyependa "Ndio mzee" na wala kupelekeshwa kiboyaboya

Sasa kwa wale mnaofikia vita dhidi ya Korea Kasjazini itakuwa rahisi mnajidanganya
.....
Asante mkuu kwa nyongeza.
 
1975 - Jenerali Cao Van Vien ambaye alikuwa Mkuu wa Jeshi la Vietnam Kusini anakimbilia Uhamishoni nchini Marekani mara baada ya Majeshi ya Vietnam ya Kaskazini yakisaidiwa na Urusi na China kukaribia kupata ushindi katika Vita ya Vietnam.
3172e75f49dd6729d9c9132f6da48fd4.jpg
c46701b6fb6fe17724213dacc35df38e.jpg
Mkuu baada ya Kaskazini kushinda vita wakaimeza Kusini na kuwa Vietnam moja tunaoiona leo?
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom