Makapuku Forum

Ndio maana akawa haonekani kwenye sherehe za muungano
Akapigika kwa maradhi huko kizuizini hadi kuamua kuandika wosia asizikwe kuserikali japo alikuwa Rais mstaafu alisingizia tu ucha mungu
Hakufunikwa hata na kavendera ka CCN
....
 
Ndio maana akawa haonekani kwenye sherehe za muungano
Akapigika kwa maradhi huko kizuizini hadi kuamua kuandika wosia asizikwe kuserikali japo alikuwa Rais mstaafu alisingizia tu ucha mungu
Hakufunikwa hata na kavendera ka CCN
....
Wala hakuwa anatajwa mchango wake katika Taifa hili. Ni kama ambavyo Watawala wamepoteza mchango wa Oscar Kambona katika historia ya nchi hii.

Bila Aboud Jumbe pengine leo hii isingekuwepo CCM.

Yeye alikubali kuunganisha chama chake cha ASP cha Zanzibar na TANU cha Tanganyika na kuzaliwa kwa CCM.

Kitu ambacho kilikuwa sio rahisi chini ya utawala wa Karume.
 
Mkuu tumegee kidogo kisa cha Oscar Kambona kususwa
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…