Kweli ww unetokana na MUUNCANOMpaka hapo Sina la ziada kwenye magazeti kwa udhamini mnono wa shemela shunie, Nawatakieni asubuhi njema na sherehe njema za muunngano
Pia leo ndiyo nazaliwa
Matokeo ya mechi za jana
Germany DFB POKAL
E Frankfurt atakutana na mshindi kati ya Bayern au Dortmund kwenye fainali![]()
Hii ilikua ni mechi moja hatari mkuu, Frankfurt kwa mara ya kwanza anatinga fainali toka mwaka 2006, Frankfurt kama kawaida yao toka Valleja kaumia (karudishwa kwao madrid) imekua ikitumia mfumo wa mabeki watatu nyuma na viungo watano alafu mbele kunakua na watu wengine wawili 3-5-2, jana kwenye dakika ya 15 beki wao waliemsajili kwenye dirisha lilipita ambaye jana alicheza kama wing back ya kushoto Tawatha ndio alikua wa kwanza kufunga goli lakini hata kabla ya mapumziko Andres Hann akaisawazishia gladbach na matokeo kuwa 1-1, hadi mpira unaisha matokeo yakabaki hivo hivo.
wakaenda 120 lakini hoola matokeo yalikua hivo hivo, baadae wakaenda matuta, kama mnavojua matuta hayana mwenyewe baada ya kuenda penalty 6 bila kukosa hatimae mcjezaji wa chelsea alie kwa mkopo BMG Andreas Christensen alikosa penati ya saba, na Guillermo Vallera (beki ya Manchester united, yupo kwa mkopo Frankfurt) nae akakosa penalty ya saba hivo zikabaki ni 6-6, mwisho Djibri Sow ambae alitokea benchi kwa upande wa BMG akakosa wakati penalty ya mwisho kwa upande wa Frankfurt ilipigwa na Hrgota na matokeo kuwa ni penalty 6 kwa 7.
Salama kabisa, vip pande hizoNajua salamu tu mkuu
BTW natumai umeamka salama
Pamoja sana mkuu NyageiShukrani shululu kwa magazeti mubashara
Ngoja tuoneEngland EPL
![]()
Crystal Palace wakimkaribisha Tottenham Je na leo Crystal Palace atatushangaza tena kama alivyofanya kwa wakubwa wengine
Dunia ina maajabu mengi sanaUnawea kuogelea km ww ni mzoefu maana ukiwa ndaani ya maji kuona itakuwa shida![]()
![]()
Pia samaki wanaonekagna wapo
Hayo Maziwa ya pink yapo pia sehemu zingine duniani ila hilo rangi yake ni permanent hata ukiyachota
Mfano
Ziwa pink la Senegal lina kiwango kikubwa cha chumvi pengine kuizidi bahari hivyo kusababisha vitu kuelea kwa urahisi.. lita moja ya maji ina kiwango cha chumvi gramu 380 na shughuli kuu ni uvuvi
.........
Tupo poa kamanda, vip weweMmeamkeje makamanada wa humu ndani
bullar mzee wa chura umepotea sana humu ila mmu nilikua nakuona onaNmelimis genge
Asante mkuu MndaliAsante kwa magazeti
Hongera kwa kuongeza kwa kutimiza miaka kadhaa mungu akuongezee zaidi na zaidi na ukuongoze katika njia iliyo sahihi
AmazingTongotongo la Asubuhi![]()
![]()
Lake Hillier
Ndio Ziwa lenye maji ya rangi ya pink
Kamwe maji yake hayajawahi kubadilika rangi pia Wanasayansi wamejaribu kugundua chanzo cha hayo maji kuwa ya pink lakini bado hadi leo hawajui
Linapatikana Magharibi mwa nchi ya Australia
Asubuhi njema
...........
Azam huwa nawaogopa najua lazima tupigwe
Asante mzee wa B,Dotmundhappy bornday mkuu shululu,
usisahau kilipa fadhila kwa wazazi maana bila wao usingekuwepo leo hii kufurahia hii siku maalumu kwako.
huyo binti aliyeota maziwa 4 aisee
Habarini za asubuhi makapuku wenzangu! Happy Muungano Day. Happy 53th Anniversary

WelcomeVery nice
habari za mange wanazichukua watu wa magazeti wawe wanamlipa dada wa watu