Makapuku Forum

Makapuku Forum

d29ef207aae6454e4ca826053fdf677f.jpg
35db0e60bb4f37e435bc86756b098ab2.jpg
Sijawahi kuona diktekta anaachia madaraka kirahisi hivyo
.....
Hata mimi nimeshangaa

Nadhani aliumwa au alipooza hivyo kupelekea kuachia ngazi.
 
1964 - Tanganyika na Zanzibar zaungana na kutengeneza nchi ya Tanzania.

Waasisi wa wa Muungano huo ni JK Nyerere kwa pande wa Tanganyika na Abeid Amnai Karume kwa upande wa Zanzibar.
aa9ead7eb8490d940c8fb7a46ca717e4.jpg
4b58f460522a11907d56590466051ef1.jpg
Wazanzibar wanaonekana kuuchoka muungano ...ila wananufaika sana na muungano kanchi kenyewe kadogo km mkoa mmoja tu
f3b5640fc2ec5ff25939cddb4a178d2b.jpg

Hapa ni sherehe za mwaka 1983
Huyo wa nyuma ni Jenerali David Musuguri nimewahi kumuelezea jinsi alivyoongoza mapambano vita ya Kagera
Miaka miwili baadaye Mwalimu Nyerere aliachia madaraka kwa hiyari
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom