Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo Katika Historia:

1865 - John Wilkes Booth anauwawa.

Alikuwa ni muuaji wa Rais Abraham Lincoln wa Marekani.
fdeae4eb6c5099dc14f8cb119b68b4d3.jpg
a2e79d74ad28d10f8863f608c758b9ff.jpg
Mosha huoshwa
.....
 
Baada ya kutolewa kwenye uefa na Monaco na kushindwa kwenye BL hii ndio inabaki chance pekee kwa kocha Thomas Tuchel kushinda kombe msimu huu. Baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya gladbach jumamosi iliyopita leo bvb watakutana na Bayern kwenye DFB pokal.

ukiachana na bartra na sahin hakuna majeruhi wengine wowote kwa upande wa dortmund, pia kuna habari kwamba sokratis kasafiri na timu na amekua akifanya mazoezi kwa siku tatu, upande wa Bayern kuna tetesi kwamba alaba anaweza asicheze na nafasi yake kuchukuliwa na Bernat.

Boateng na Hummels wamepona hivo leo watacheza,

Douglas costa hajawa na msimu mzuri toka kuondoka kwa gurdiola, hivo tutegemee kuwaona Robben na Ribery wakianza.
a810048ad9f25d1cb275bb25de3e88d9.jpg
f82bb4a8c6fc51668b2695dace0ca95d.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom