Makapuku Forum

Makapuku Forum

aa2e6de12a932c9d53c3c6642f36402c.jpg
45a0ac254a01fc5dba2acdd473dfea85.jpg
3eaa359094f798b8a1f16ad2028ad9b1.jpg
80ad81b188b4fffbd6b3a9e66b6b03af.jpg
Hii ya mwisho alimshirikisha Aaliyah miezi/miaka michache kabla ya kifo chake
Ni movie bomba hasa unapoangalia kazi ya mwisho ya kisanaa ya mtu
.......
Hakika mkuu
 
aa9ead7eb8490d940c8fb7a46ca717e4.jpg
4b58f460522a11907d56590466051ef1.jpg
Wazanzibar wanaonekana kuuchoka muungano ...ila wananufaika sana na muungano kanchi kenyewe kadogo km mkoa mmoja tu
f3b5640fc2ec5ff25939cddb4a178d2b.jpg

Hapa ni sherehe za mwaka 1983
Huyo wa nyuma ni Jenerali David Musuguri nimewahi kumuelezea jinsi alivyoongoza mapambano vita ya Kagera
Miaka miwili baadaye Mwalimu Nyerere aliachia madaraka kwa hiyari
....
Muungano umewachosha kwa kiasi kikubwa sana Wazanzibar.

Hata hayati Abeid Karume aliwahi kusema Muungano ni kama koti hivyo likikubana huna budi kulivua.

Maneno hayo ya kejeli ya Karume kwa Nyerere yalimchafua mno Nyerere na wawili hao hawakuwa na uhusiano mzuri katika siku za mwisho za maisha ya Karume.

Pia Rais wa awamu ya pili ya Zanzibar, ndugu Aboud Jumbe Mwinyi alipohoji kuhusu muundo wa Muungano na kujaribu kuandaa hati za mashtaka kwaajili ya kuuvunja Muungano alijikuta akilazimishwa kujiuzulu nyadhifa zake zote ndani ya chama na serikali na alipojiuzulu tu 1984 akawekwa kizuizini nyumbani kwake Kigamboni mpaka alipofariki mwaka jana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom