shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Usihofu mtumishi tupo pamojaNimemquote T wa Sakayo au nimekosea NAOMBA NISAMEHE MKUU
Usihofu mtumishi tupo pamojaNimemquote T wa Sakayo au nimekosea NAOMBA NISAMEHE MKUU
Mungu awaepushieKweli mkuu na inawatesa sana watu wanao patwa na hiyo hali
Ni kweli mama mchungajiPole,pia ukiwaruhusu kuhesabu wanbeba hata wanne wanne na huoni,wakikulipa ukibaki kuhesabu huna kuku,ni bpra ukawa una wahamishia pengine ndio mhesabu idadi wanayohitaji,wanaviini macho sana,tuombee sana kazi za mikono yetu washindwe kuingia na nguvu zao
Tunakumis karibuMko poa humu nimewamis
WapiStress za kule ni hatari!!
ukhuty mbona mnamisiana wenyeweNashukur kwa kunimis![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Hapo ni airport ya zamani pale mafiatSio Songwe airport hapo
Usijali nimekumisiukhuty mbona mnamisiana wenyewe
kwanini nani kawaambia mie staki kumisiwa ?
basi kama hamtaki kunimiss na hakuna alotayari kunimiss,
Acha nijimiss mwenyewe![]()
![]()
![]()

Nani huyo tenaHilo katazo sijaliona na inaonekana watu wameanza kupangiwa cha kupost basi watabaki peke yao maana maisha ni pamoja na mapenzi
Kanifuta => KanifuataMimi mtu kanifuta pm ,
Kasema mapenzi peleka mmu..
Hebu tuburudike na gitaa la gospel kidogo wakati tunajipanga kuianza wiki nyingine nzuri
BlessedHope usiadimike sana, nitapata presha.
Oohhh kumbe kweli nwezekana maana hakuna hatq uzio paleHapo ni airport ya zamani pale mafiat
AmenMungu awaepushie
Ni bora hata walivyohamisha uwanja maana bombardier isingetua paleOohhh kumbe kweli nwezekana maana hakuna hatq uzio pale
Mashudu hamna yanayo patikana yanawatosha wafugaji waliopo hukuMashudu yanapatikana?
Basi nawe yatakutosha huko endapo utaamua kufugaMashudu hamna yanayo patikana yanawatosha wafugaji waliopo huku